MWANA DAR LIVE CONCERT
![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykXI49z4Ahf9FLBPEt4qdVxKDZ5WKOGj3W7ZqxGLZmvc2bD70Vx3yl3PGFwfV0F4x5qSv2GJ9cru7gIHV*Uy092X/IMG20150323WA0001.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnQP8REKXqJ0zTlXDt6LfKt7cFKoM7yAk-cPgWxYhqEdc6p1m4fs55U7PqcgbECYiFXizswSttVGDU1RB02trlLb/kibaaaaaaa.jpg)
MWANA DAR LIVE CONCERT: ALI KIBA, MSAGA SUMU, ISHA ‘LIVE’ NA WAANDISHI LEO
MFALME wa Bongo Fleva, Ali Kiba, Mfalme wa Vigodoro, Msaga Sumu pamoja na Malkia wa Masauti, Isha Mashauzi wanatarajiwa kukutana na waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza-Africasana, jijini Dar kabla ya kufanyika kwa shoo ya Mwana Dar Live Aprili 5, mwaka huu (Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar. Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba. Akizungumza na Showbiz,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrUxVmkJZ73AdJUMbALcrBvAFU5o1o6j8jNwk2c7BHhvp3hy4wHlN7XmwYlxIkUYg-Sor1LrYkZCIaaS5Ur6SGVg/MwanaDar.jpg?width=650)
MWANA DAR LIVE CONCERT, ALI KIBA, ISHA WATAMBIANA
MASTAA wa muziki Bongo, Msaga Sumu, Ali Kiba pamoja na Isha Mashauzi juzikati walitambiana kufunika katika shoo inayotambulika kama Mwana Dar Live itakayofanyika Aprili 5, mwaka huu (Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Wakizungumza na Centre Spread, kwa nyakati tofauti-tofauti mkali wa nyimbo za Mchiriku, Msaga Sumu alisema kuwa siku hiyo atahakikisha anatoa burudani ya...
10 years ago
GPLLIVE KUTOKA DAR LIVE: BURUDANI ZA MWANZO KABLA YA SHOO YA MWANA DAR LIVE
Waimbaji wa Mashauzi Classic wakiwa stejini. Msanii wa Bongo Fleva, Aisha Amsha Popo akifanya vitu vyake katika steji ya Dar Live usiku huu.…
10 years ago
GPLKOMAA CONCERT KUFUNIKA DAR LIVE MEI 30
Meneja mawasiliano na mambo ya sheria wa E-fm Denis Ssebo, akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani).
TAMASHA kubwa la kuadhimisha miaka kumi na sita ya msanii JUMA NATURE maarufu kama Kiroboto pamoja na hitimisho la sherehe za mwaka mmoja za 93.7 EFM linalofahamika kama KOMAA CONCERT kwa mara ya kwanza litafanyika rasmi Jumamosi hii ya tarehe 30 mwezi Mei katika ukumbi wa Dar Live-Mbagala, kuanzia saa 12 jioni. Staa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbiXGv9tB0qSA0GjqPyspelOZkYgc*eshyahwMTWchhl7tkjcQFUdIFcdcXXblzmDhX82m6OgeZn5SKxL-gfg08C/TANO.jpg?width=750)
9 years ago
Michuzi26 Dec
Funga Mwaka Concert na Diamond Ndani ya Dar Live.....
![IMG_7348](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7348.jpg)
![IMG_7989](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7989.jpg)
![IMG_7359](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7359.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Global Publishers24 Dec
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Diamond afunika usiku wa Funga Mwaka Concert Dar Live
Mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akifanya yake usiku huu Dar Live.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania