Mwanafunzi St Mary Mazinde ang'ara shindano la barua
MWANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya St Mary Mazinde Juu wilayani Lushoto, mkoani Tanga, ameshinda shindano la uandishi wa barua lililofanyika hivi karibuni kitaifa na kuchaguliwa rasmi kuiwakilisha Tanzania katika shindano hilo kimataifa.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania