Mwanasheria Z’bar alia na tume ya pamoja ya fedha
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman, amesema kushindwa kuanza kazi kwa Tume ya Pamoja ya Fedha ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiyo chanzo kikubwa cha misuguano na kero za Muungano.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA UJUMBE WA Tume ya Pamoja ya Fedha (JFC) jijini Dar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6G9NTsFqghA/VliYKWGMJzI/AAAAAAAIIsg/fiwo1i0bdqs/s72-c/0a1dfbf3-a715-4d6f-9cb6-d3a5993fe64a.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali alia na mtuhumiwa wa madawa ya kulevya
![](http://1.bp.blogspot.com/-6G9NTsFqghA/VliYKWGMJzI/AAAAAAAIIsg/fiwo1i0bdqs/s640/0a1dfbf3-a715-4d6f-9cb6-d3a5993fe64a.jpg)
Maombi hayo dhidi ya Muharami na mkewe yaliwasilishwa kwa hati ya dharura mahakamani hapo Septemba 13, mwaka huu mbele ya Jaji Wilfred...
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mwanasheria Mkuu Z’bar chupuchupu
MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amejikuta akipata wakati mgumu bungeni ambapo askari wa Bunge walilazimika kumlinda na kumficha katika baadhi ya vyumba vilivyopo ndani ya ukumbi.
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Mwanasheria Mkuu Z’bar azikataa ibara 22 Katiba
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2472148/highRes/842106/-/maxw/600/-/foq96gz/-/AG+ZANZIBAR.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Aug
Akaunti ya pamoja Bara, Z'bar hekaheka
MWENYEKITI wa Kamati Namba Moja, Ummy Mwalimu, amesema pamoja na Kamati yake kupitisha sura zote kwa kupata theluthi mbili kila upande, suala la akaunti ya pamoja kwa Tanzania Bara na Zanzibar, hawakufanya uamuzi na lilikuwa na hekaheka kubwa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yU_AFfMHT50/VNvGX84cnmI/AAAAAAAHDLM/P1zyi8NaHes/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_03481.jpg?width=650)
MAPAMBANO YA UKATILI YANAITAJI NGUVU ZA PAMOJA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Mapambano ya ukatili yanahitaji nguvu za pamoja — Tume ya Haki za Binadamu
Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizungumza.
![Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizindua eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_03901.jpg)
Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizindua eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili.
![Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizungumza.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0396.jpg)
Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...