Mwenyekiti Chadema 'aichanachana' mkutanoni
NA CHARLES CHARLES, SONGEA
MWENYEKITI wa Chadema wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Mchungaji Desderius Haule, amesema chama hicho kinaendeshwa kibabe, kibinafsi na kama kampuni inayomilikiwa na watu wanaoweza kufanya chochote kwa jinsi wanavyotaka bila kufuata katiba.
Aidha, Haule amewashukia viongozi wa vyama vya upinzani kwa kueneza dhana potofu na uongo kuwa, kila mwanachama wao anayejiuzulu na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) anakuwa amenunuliwa.
Mchungaji huyo ambaye alikihama chama...
Uhuru Newspaper