Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchini za Nje akutana na Balozi wa Marekani nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-W83EISCwZbE/VLe3CPD8E1I/AAAAAAAG9hE/wApgVk8kTGQ/s72-c/elelGel0007el.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchini za Nje na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kulia) akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania,Mh. Mark Childress walipokutana kwenye hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo Januari 15,2015.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchini za Nje na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisisitiza jambo wakati akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania,Mh. Mark Childress...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-O58dy_NHEAE/UwHPj6U7HjI/AAAAAAAFNgM/90pupwWCaOc/s72-c/unnamed+(4).jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE ZIARANI NCHINI UFARANSA
![](http://1.bp.blogspot.com/-O58dy_NHEAE/UwHPj6U7HjI/AAAAAAAFNgM/90pupwWCaOc/s1600/unnamed+(4).jpg)
Mwandishi Wetu, Paris Ufaransa.
Kamati ya Bunge ya Masuala ya Mambo ya Nje imemaliza ziara ya siku tatu nchini Ufaransa na kuridhishwa na...
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Norway nchini
Picha na Reginald Philip.
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
10 years ago
Michuzi16 Sep
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Balozi wa China nchini
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA,PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUKUZI WA BURUNDI
5 years ago
MichuziWIZARA MAMBO YA NJE YAMUITA KAIMU BALOZI WA MAREKANI HAPA NCHINI KUTOA UFAFANUZI WA MASUALA MBALIMBALI
Kaimu Balozi huyo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kwenye Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s72-c/D92A2654.jpg)
Rais Kikwete akutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Ikulu jijini Dar leo,Pia akutana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund
![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s1600/D92A2654.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YIhJ306_WXY/U0fbnaRrL4I/AAAAAAAFZ-A/ArXu96g56WM/s1600/D92A2676.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lt-UGThwSvc/U0fcFTZv5GI/AAAAAAAFZ-Y/p6G3IZXoNkU/s1600/D92A2950.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...