MWIGULU ALIVYOZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA CCM KALENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xNmJVFzJtHA/UxAnQZ0m3cI/AAAAAAAAkG0/-MxPudf8goA/s72-c/1.+Abdul+Adam+Sapi+Mkwawa,+Mtoto+wa+Spika+wa+Bunge+wa+zamani+Chifu+Adamu+Sapi+Mkwawa,+akimpongeza+mgombea+wa+CCM+Kalenga,+Godfrey+Mgimwa+.jpg)
Abdul Adam, Mtoto wa Spika wa Bunge wa zamani Chifu Adamu Sapi Mkwawa, akimpongeza mgombea wa CCM katika Uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya Ifunda, Februari 27, 2014.
Wananchi wakinyoosha mikono kuunga mkono kuwa mgombea wa CCM anafaa, wakati wa mkutano wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya Ifunda, Februari 27, 2014.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iSIwRpUakvw/UxjPISN40dI/AAAAAAACbwc/6w33AnkAM48/s72-c/IMG_7253.jpg)
KAMPENI ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA,CCM YAJIDHATITI KWA USHINDI WA KISHINDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSIwRpUakvw/UxjPISN40dI/AAAAAAACbwc/6w33AnkAM48/s1600/IMG_7253.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z-DRMTHbUps/UxjQqFecYfI/AAAAAAACbw0/1mDAN8ZZQoI/s1600/IMG_7176.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6IZUfLamvE0/UySMEUTRn2I/AAAAAAACch0/sfU2jEBOmsM/s72-c/IMG_9571.jpg)
KATIBU WA MKUU WA CCM,KINANA AFUNGA KAMPENI KWA KISHINDO JIMBO LA KALENGA JIONI YA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-6IZUfLamvE0/UySMEUTRn2I/AAAAAAACch0/sfU2jEBOmsM/s1600/IMG_9571.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-o5yV4CZ96do/UySMFy_8QGI/AAAAAAACciA/AFoeX5lf_20/s1600/IMG_9583.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6lTk045301g/UySMG0IzXUI/AAAAAAACciI/ZUCqlZ7pTk0/s1600/IMG_9613.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s72-c/6.jpg)
KINANA ATUA KALENGA LEO,AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s1600/6.jpg)
Kinana amewataka wakazi wa Kalenga kumpigia kura za kutosha na hatimae kuibuka mshindi kwa maendeleo ya jimbo hilo,hapo siku ya jumapili ambapo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OQNqlept6ZA/UyaVs2pHqnI/AAAAAAACcqs/7XjhzB477YE/s72-c/IMG-20140317-WA0001.jpg)
CCM YASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OQNqlept6ZA/UyaVs2pHqnI/AAAAAAACcqs/7XjhzB477YE/s1600/IMG-20140317-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vhJuSM-SSJU/UyaNwBA1W-I/AAAAAAACcqU/-dpC61Zc4ps/s1600/IMG_0099.jpg)
9 years ago
MichuziMWIGULU AWAHAKIKISHIA WANABUKOMBE KUWA CCM ITASHINDA KWA KISHINDO 2015
Picha na...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...