NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,PEREIRA AME SILIMA AFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI POLISI NA UHAMIAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0932qYtfbZo/Vcb4CO4QmXI/AAAAAAAAS_c/lp6nlgYwEvE/s72-c/DSCF6108%2B%25281280x960%2529.jpg)
Mgeni rasmi katika ufungaji wa Mafunzo ya awali ya skari Polisi,NaibuWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Pereira Ame Silima akizungumza wakati wa sherehe za ufungaji wa mafunzo hayo zilizofanyika Chuo Cha Taaluma ya Polisi Moshi,
Baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya awali ya Askari Polisi na Uhamiaji.
Naibu Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi ,Abdulrahman Kaniki akitoa hotuba yake katika siku hiyo.
Mkuu wa Chuo cha Polisi ,Commandant ,Matanga Mbushi akitoa hotuba yake katika sherehe hizo.
Baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0932qYtfbZo/Vcb4CO4QmXI/AAAAAAAAS_c/lp6nlgYwEvE/s72-c/DSCF6108%2B%25281280x960%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,PEREIRA AME SILIMA AFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI POLISI NA UHAMIAJ
![](http://3.bp.blogspot.com/-0932qYtfbZo/Vcb4CO4QmXI/AAAAAAAAS_c/lp6nlgYwEvE/s640/DSCF6108%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EvERB74X3vI/Vcb30JkArhI/AAAAAAAAS-o/BVXHz94mDi0/s640/DSCF6063%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QG3gOY3X2e4/Vcb4CTCsJcI/AAAAAAAAS_g/q1BgD69sSKs/s640/DSCF6087%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR87gAt4HP0/Vcb36WjOYUI/AAAAAAAAS_M/bUWkyPS3PNM/s640/DSCF6077%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WbGmJsgL95Y/Vcb4BeY8h1I/AAAAAAAAS_Y/KPW6a_GRMOE/s640/DSCF6083%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3M9X0BdKwkk/Vcb30EfUBwI/AAAAAAAAS-s/dpwMgQJgG3I/s640/DSCF6064%2B%25281280x960%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kIM-LmEPSMQ/VlttgprL37I/AAAAAAAIJFI/2x7iIkAFy1M/s72-c/pix%2B1.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA IDARA YA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kIM-LmEPSMQ/VlttgprL37I/AAAAAAAIJFI/2x7iIkAFy1M/s640/pix%2B1.jpg)
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MH. HAMAD MASAUNI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s72-c/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU WA NEC WA CCM, PEREIRA AME SILIMA AJITOSA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU wa NEC, Idara ya Oganaizesheni ya CCM Taifa, Pereira Ame Silima,Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ametimiza idadi ya wagombea 27
![](https://1.bp.blogspot.com/-UaE95u-suxY/XvRutXTqCuI/AAAAAAAAWxQ/Nwo5q8wIjBsivLheNnzmyNcSBl4Zo_YdwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
HAPA KAZI TU: Naibu Katibu Mkuu Mambo ya ndani ya Nchi atembelea makao makuu ya Idara ya uhamiaji Kurasini jijini Dar es Salaam!
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto), akisalimiana na Kamishna wa Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja , wakati wa ziara ya kikazi Makao Makuu ya Uhamiaji,Kurasini jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile (kushoto), akimuonesha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, baadhi ya Ofisi za Idara ya Uhamiaji,...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MAFUNZO YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MAFUNZO YA AWALI KWA WATUMISHI WA IDARA YA WAKIMBIZI, LEO JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA IDARA YA UHAMIAJI KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM — AWATAKA WATENDAJI KWENDA NA KASI MPYA