Nana wa Diamond wamdatisha Swizz Beatz
NA CHRISTOPHER MSEKENA
RAPA na prodyuza wa muziki duniani, Kasseem Dean maarufu kwa jina la Swizz Beat, ameonekana kuvutiwa na nyimbo mbili za msanii, Diamond Platnumz.
Staa huyo anayeishi Marekani ameweka vipande vya video katika kurasa zake za mitandao ya kijamii ikimuonyesha akisikiliza na kucheza nyimbo za Diamond ‘Nataka Kulewa’ na ‘Nana’ huku akiandika ujumbe kwamba anafurahia midundo ya Afrika.
Hii siyo mara ya kwanza kwa prodyuza huyo wa muziki kusikiliza nyimbo za Afrika,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Diamond aeleza alivyolipokea shavu la Swizz Beatz
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Producer Swizz Beatz wa Marekani azipa shavu ngoma mbili za Diamond
9 years ago
Bongo526 Oct
Swizz Beatz ampongeza Diamond kwa kumuita ‘King’ baada ya kushinda tuzo za MTV EMA, soma pongezi za mastaa wengine hapa
9 years ago
Bongo514 Oct
Video: Jadakiss Feat. Swizz Beatz — Jason
9 years ago
Bongo510 Oct
Music: Jadakiss Feat. Swizz Beatz — Jason
10 years ago
Bongo529 Dec
Alicia Keys na Swizz Beatz wapata mtoto wa pili wa kiume
5 years ago
Pulse Live Kenya19 Feb
Tanasha and Diamond’s song attracts the attention of American producer Swizz Beatz
9 years ago
Bongo510 Nov
Mc Galaxy wa Nigeria aingia studio kurekodi na producer Swizz Beatz (Video)
![MC-Galaxy and Swizz Beatz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/MC-Galaxy-and-Swizz-Beatz-300x194.jpg)
Siku za hivi karibuni producer maarufu wa Marekani Swizz Beatz na mkewe Alicia Keyz wamekuwa wakipost video clips kwenye mitandao ya kijamii wakifurahia nyimbo za wasanii wa Afrika zikiwemo kazi za Diamond, MC Galaxy, Wizkid na wengine.
Mc Galaxy ameingia studio jijini New York, marekani kurekodi nyimbo mpya na producer huyo wa kimataifa Swizz Beatz ikiwemo remix ya wimbo wake ‘Sekem’.
MC Galaxy alipost picha akiwa studio na Swizz kwenye akaunti yake ya Instagram.
Katika video ya Swizz...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MuEFkifYx5o/VWjY_Cc_09I/AAAAAAAHawQ/GwKh0_o4ZZ8/s72-c/20150529141110.jpg)