Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape atembelea Business Times wanaochapa Majira na Spoti Starehe

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye (kushoto), akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Business Times, Imma Mbuguni, alipowasili katika Ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam,  akiwa katika mwendelezo wa ziara ya vyombo vya habari aliyoianza wiki iliyopita

 Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Business Times, Imma Mbuguni (kulia) akizungumza na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye aliyetembelea ofisi za Business Times jijini Dar es Salaam.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NAPE ATEMBELEA MAJIRA LEO

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye (kulia) akizungumza na uongozi wa Kampuni ya Bussines Times, Wachapichaji wa Magazeti ya Majira, Bussines Times na Sports Starehe, akiwa katika mwendelezo wa ziara ya vyombo vya habari aliyoaianza wiki iliyopita mjini Dar es Salaam. Kushoto ni Mtahiriri wa Majira Eckland Mwaffisi na Mhariri Mtendaji wa Kampuni hiyo, Imma Mbuguni.  Nape akimsalimia Meneja Uhusiano wa Bussines Times Ltd, Julieth Lamosai, baada ya kutambulishwa kwake na...

 

10 years ago

Vijimambo

NAPE ATEMBELEA GAZETI LA MAJIRA



 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye (kushotia), akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Business Times, Imma Mbuguni, alipowasili katika Ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam,  akiwa katika mwendelezo wa ziara ya vyombo vya habari aliyoaianza wiki iliyopita .
 Nape akimsalimia Meneja Uhusiano wa Business Times Ltd, Julieth Lamosai, baada ya kutambulishwa kwake na Mbunguni wakati wa ziara hiyo
 Nape akienda na Mbunguni kwenye ukumbi kwa ajili ya mazungumzo
 nape...

 

9 years ago

Michuzi

NAPE ATEMBELEA GAZETI LA RAIA TANZANIA

  Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati wa kikao na wahariri wa magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania.

  Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akizungumza huku Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania Ndugu Godfrey Dilunga akimsikiliza kwa makini.
Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania Ndugu Godfrey Dilunga akiwatambulisha baadhi ya viongozi wa kampuni ya Magazeti ya Raia Mwema.

KATIBU wa...

 

9 years ago

GPL

NAPE NNAUYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erick Evarist akimkaribisha Katibu Mwenezi wa CCM na Mbunge Mteule wa Jimbo la Ntama, Nape Nnauye. ...Akitoa neno la shukrani kwa Kampuni ya Global Publishers. Mwandishi wa Global Publishers, Brighton Masalu akimuuliza swali Nape Nnauye.…

 

10 years ago

Michuzi

nape atembelea magazeti ya Tanzania Daima na Jambo leo

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnuye akikutana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alipofika katika Ofisi za Free Media, wachapishaji wa gazeti la Tanzania Daima,  akiwa katika ziara katika vyombo vya habari ambayo aliianza jana, jijini Dar es Salaam.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnuye akiagana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alipofika katika Ofisi za Free Media, wachapishaji wa gazeti la Tanzania Daima, akiwa katika ziara katika vyombo vya habari ambayo aliianza...

 

9 years ago

CCM Blog

NAPE AENDELEA NA ZIARA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ATEMBELEA GAZETI LA RAIA TANZANIA LEO



 Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akizungumza na Wahariri wa gazeti la Raia Tanzania na Raia Mwema katia ofisi za magazeti hayo jijini Dar es Salaam.
  Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati wa kikao na wahariri wa magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania.

  Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akizungumza huku Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania Ndugu Godfrey Dilunga akimsikiliza kwa makini.

 

9 years ago

TheCitizen

YOUR BUSINESS IS OUR BUSINESS : Study shows there’s good business in human waste!

Today is World Toilet Day… Cheers! The banner ‘Toilets save lives’ might sound mundane, far-fetched... Or, at best: a smart-alecky trader’s way of drawing attention to toilet-related ware be fobbed off upon unwary prospective customers…! 

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripota wa Spoti apigwa na mashabiki hadi kufa

Mwandishi wa habari za spoti amepigwa hadi kufa na mashabiki wa mchezaji aliyemkosoa katika ripoti yake huko Azerbaijan

 

9 years ago

TheCitizen

YOUR BUSINESS IS OUR BUSINESS: Retiring from Tanzania’s presidency is good business

Seemingly for the umpteenth time, Tanzania’s major partners-in-development have come out in lavish praise for what they described as peaceful, stable transition from one govt to another.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani