Nape atembelea Business Times wanaochapa Majira na Spoti Starehe
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye (kushoto), akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Business Times, Imma Mbuguni, alipowasili katika Ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam, akiwa katika mwendelezo wa ziara ya vyombo vya habari aliyoianza wiki iliyopita
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Business Times, Imma Mbuguni (kulia) akizungumza na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye aliyetembelea ofisi za Business Times jijini Dar es Salaam.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNAPE ATEMBELEA MAJIRA LEO
10 years ago
VijimamboNAPE ATEMBELEA GAZETI LA MAJIRA
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye (kushotia), akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Business Times, Imma Mbuguni, alipowasili katika Ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam, akiwa katika mwendelezo wa ziara ya vyombo vya habari aliyoaianza wiki iliyopita .
Nape akimsalimia Meneja Uhusiano wa Business Times Ltd, Julieth Lamosai, baada ya kutambulishwa kwake na Mbunguni wakati wa ziara hiyo
Nape akienda na Mbunguni kwenye ukumbi kwa ajili ya mazungumzo
nape...
9 years ago
MichuziNAPE ATEMBELEA GAZETI LA RAIA TANZANIA
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akizungumza huku Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania Ndugu Godfrey Dilunga akimsikiliza kwa makini.
Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania Ndugu Godfrey Dilunga akiwatambulisha baadhi ya viongozi wa kampuni ya Magazeti ya Raia Mwema.
KATIBU wa...
9 years ago
GPLNAPE NNAUYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
Michuzi07 Feb
nape atembelea magazeti ya Tanzania Daima na Jambo leo
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnuye akiagana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alipofika katika Ofisi za Free Media, wachapishaji wa gazeti la Tanzania Daima, akiwa katika ziara katika vyombo vya habari ambayo aliianza...
9 years ago
CCM BlogNAPE AENDELEA NA ZIARA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ATEMBELEA GAZETI LA RAIA TANZANIA LEO
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akizungumza na Wahariri wa gazeti la Raia Tanzania na Raia Mwema katia ofisi za magazeti hayo jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati wa kikao na wahariri wa magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania.
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akizungumza huku Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania Ndugu Godfrey Dilunga akimsikiliza kwa makini.
9 years ago
TheCitizen19 Nov
YOUR BUSINESS IS OUR BUSINESS : Study shows there’s good business in human waste!
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Ripota wa Spoti apigwa na mashabiki hadi kufa
9 years ago
TheCitizen03 Dec
YOUR BUSINESS IS OUR BUSINESS: Retiring from Tanzania’s presidency is good business
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10