NAPE ATHIBITISHA TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mxD05baKTG4/VZ-QTP2j41I/AAAAAAAAwXI/5wCH8PjIFh8/s72-c/1a.jpg)
URAIS CCM: TANO NA TATU BORA KUPATIKANA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-mxD05baKTG4/VZ-QTP2j41I/AAAAAAAAwXI/5wCH8PjIFh8/s640/1a.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari waliopo mjini Dodoma, wakiirusha taarifa hiyo baada ya kuipata, leo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ametoa ratiba ya Vikao kwa siku ya leo tarehe 10/7/2015.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Nape amesema, kuanzia Saa 4 hadi saa 7 mchana, kitafanyika kikao cha Usalama na Maadili chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
Amesema kuanzia Saa 8 hadi saa12 Jioni ni Kikao cha Kamati Kuu kitakachopitisha majina matano ya wagombea walioomba ridhaa ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
VIDEO: NAPE ATHIBITISHA MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Migiro athibitisha; kimya kingi kina mshindo mkuu
Ingawa hakuwa akitajwa mara kwa mara kwamba ni mmoja wa wagombea tishio, kupitishwa kwa jina la Dk Asha-Rose Migiro kuingia katika tano bora ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, siyo jambo la ajabu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s72-c/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
NEWS UPDATES KUTOKA CCM DODOMA USIKU HUU: USIRI WATAWALA TANO BORA YA WAGOMEA WA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s640/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z4Uq9w0zHLs/VaBGzn6DqgI/AAAAAAAHolI/Nu6JVNE1TzU/s640/MMGL0557%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A4cH7mxufzM/VaBGuZJB5HI/AAAAAAAHok8/CYZljJxlGHo/s640/IMG_8016%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Jul
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Tano bora yangu ya CCM ni hii
KAMA ningekuwa ni miongoni mwa wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), basi ningehaki
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k5ceZy19va9sTNbD4RS2Qv8-AWsiPH8W1Fbpp8KhM8K*HsFaTRHLbgzLJrCoPIi3NAKYd7ShJEtJu6yjBqlX0qt/nape1.jpg?width=650)
TANO BORA YA CCM KUJULIKANA LEO DODOMA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye. Dodoma. Kisu kikali cha Kamati Kuu ya CCM (CC) leo kitaondoka na vichwa 33 kati ya 38 vya walioomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kumrithi Rais Jakaya Kikwete anayemaliza ngwe yake. Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula. Kikao hicho ni hatua ya pili baada ya kukamilika kwa kikao cha Kamati ya Maadili kilichokutana jana usiku chini ya Mwenyekiti wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania