Ndugu waomba watuhumiwa wasiachiwe
FAMILIA ya Ezekiel Kaganga (29) aliyelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mufindi baada ya kubanikwa kwenye moto kama kuku akituhumiwa kuiba pikipiki, imeomba polisi wasiwaachie kwa dhamana watuhumiwa wa kesi hiyo kwa kuwa hali ya ndugu yao si nzuri.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Mar
Waomba majina ya watuhumiwa ujangili
TAASISI inayoundwa na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Kusimamia Uhifadhi wa Wanyamapori na Matumizi endelevu ya Rasilimali za Hifadhi na Mazingira, wametaka wapewe majina ya viongozi na wafanyabiashara wanaotuhumiwa kujihusisha na ujangili.
11 years ago
Habarileo24 Apr
Magereza waomba ndugu wa mahabusu waliokufa
MIILI ya mahabusu wanne waliokufa katika ajali iliyotokea juzi wilayani Mkuranga, mkoani Pwani, inasubiri kutambuliwa na ndugu kwa ajili ya kuendelea na maziko. Kamishna wa Magereza, John Minja alitoa pole kwa familia za mahabusu hao wanne pamoja na askari magereza mmoja waliokufa katika ajali hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s72-c/Tita%2B1.jpg)
NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s1600/Tita%2B1.jpg)