Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndugu waomba watuhumiwa wasiachiwe

FAMILIA ya Ezekiel Kaganga (29) aliyelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mufindi baada ya kubanikwa kwenye moto kama kuku akituhumiwa kuiba pikipiki, imeomba polisi wasiwaachie kwa dhamana watuhumiwa wa kesi hiyo kwa kuwa hali ya ndugu yao si nzuri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waomba majina ya watuhumiwa ujangili

TAASISI inayoundwa na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Kusimamia Uhifadhi wa Wanyamapori na Matumizi endelevu ya Rasilimali za Hifadhi na Mazingira, wametaka wapewe majina ya viongozi na wafanyabiashara wanaotuhumiwa kujihusisha na ujangili.

 

11 years ago

Habarileo

Magereza waomba ndugu wa mahabusu waliokufa

MIILI ya mahabusu wanne waliokufa katika ajali iliyotokea juzi wilayani Mkuranga, mkoani Pwani, inasubiri kutambuliwa na ndugu kwa ajili ya kuendelea na maziko. Kamishna wa Magereza, John Minja alitoa pole kwa familia za mahabusu hao wanne pamoja na askari magereza mmoja waliokufa katika ajali hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani