'NGO's Kilimanjaro acheni ubinafsi'
BODI ya Taifa ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO's) imeeleza kutoridhishwa na uhusiano mbovu baina ya mashirika hayo mkoani Kilimanjaro. Imesema hali hiyo inasababisha Bodi kukosa mjumbe wake kitaifa kutoka mkoani humo.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania