Niliamua kumshirikisha Mwana FA sababu anafahamu kuwanyambua mabinti vizuri sana — Izzo Bizness
Izzo Bizness anayeliwakilisha jiji la Mbeya ametaja sababu iliyomfanya amchague Mwana FA kumshirikisha kwenye wimbo wake mpya ‘Shem Lake’
“Unajua niliamua kumshirikisha Mwana FA sababu jamaa anafahamu kuwaelezea wanawake na mabinti vizuri sana katika nyimbo mbalimbali,” amesema Izzo Bizness kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “yaani huwa anawanyambua vizuri sana na kama unavyofahamu katika wimbo huu sisi tumejivika kama ushemeji njaa tunamtamani shemeji yetu na nini, hivyo ilibidi...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Sep
Izzo Bizness awashirikisha Mwana FA na G-Nako
9 years ago
Bongo506 Oct
New Music: Izzo Bizness f/ Mwana FA & G-Nako – Shem Lake
9 years ago
Bongo518 Dec
Video: Izzo Bizness Ft Mwana FA & G-Nako – Shem Lake
![cats](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/cats-300x194.jpg)
Rapper kutoka Mbeya City Izzo Bizness ameachia video yake mpya ya wimbo “Shem Lake”, amewashirikisha Mwana FA na G-Nako, Video imeongozwa na Khalfani Khalmandro.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Global Publishers18 Dec
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Mzigo wa ‘Shem Lake’ huu hapa kutoka kwa Izzo Bizness, Feat. Mwana FA & G Nako.. (+Video)
Rapper anayewakilisha Green City a.k.a Mbeya City kathibitisha kwamba anahitaji watu wake wapate zawadi ya video nzuri kabla haijafikia December 25 2015 ambayo ndio siku ya birthday yake. Jina lake kwenye stage ya muziki anafahamika kama Izzo Bizness, wiki chache zilizopita aliachia ngoma kali ambayo imeteka kwa nguvu airtime kwenye radio stations ambapo ngoma hiyo […]
The post Mzigo wa ‘Shem Lake’ huu hapa kutoka kwa Izzo Bizness, Feat. Mwana FA & G Nako.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
GPLIZZO BIZNESS ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE LEO