Oktoba 25: Tuendeleze sifa yetu kubwa tuliyonayo — Amani
Watanzania wote kwa ujumla tuungane na kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kuendeleza amani inayotujengea sifa kubwa sana kila kona ya dunia. Bongo5 imechukua fursa hii kukuasa ewe kijana,dada,baba,mama, bibi na babu kutojihusisha na vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani na kukuomba kuungana kwa pamoja ili kuweza kuhubiri amani ilituweze kulinda umoja wetu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia) na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).
Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...
9 years ago
MichuziWATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
10 years ago
Zitto Kabwe, MB02 Oct
Zitto Kabwe: Bado Sijamuona mtu mwenye sifa za urais (Rai /Alhamisi Oktoba 2-8, 2014)
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3405&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Uchaguzi Mkuu usitupokonye amani yetu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pFiylrrOYco/VKmLkZ3DyOI/AAAAAAAAEYM/Ih8nr9eo8GA/s72-c/MKCT_P2015.jpg)
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Tanzania yamwagiwa sifa kwa kulinda amani
9 years ago
Bongo528 Dec
Yamoto Band: Tuna kila sifa za kuwa kundi kubwa la muziki Afrika
![Yamoto Band](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Yamoto-Band-300x194.jpg)
Msanii wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka amesema show zao za mwisho walizofanya nchini Marekani na Uingereza zimewafanya waone wana nafasi kubwa ya kutoboa kimataifa zaidi.
Aslay ameiambia Bongo5 Jumatatu hii kuwa kutokana na show nne walizofanya Ulaya zimewafanya waone ukubwa wao kwa mashabiki wa nje.
“Mashabiki wetu wa Ulaya walikuwa hawaamini kama ni sisi ndiyo tunafanya kile wanachokiona kutokana na umri wetu,” alisema.
“Lakini tunashukuru Mungu tulifanya show nzuri hali ambayo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10