Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ON SABA SABA DAY MONDAY JULY 7, 2014 UNIGLOBE SKYLINK OFFICE WILL REMAIN CLOSED


ON ACCOUNT OF SABA SABA DAY, OUR OFFICE WILL REMAIN CLOSED ON 7TH JULY, 2014. FOR ALL YOUR URGENT BOOKINGS ETC, PLEASE CONTACT OUR BRANCH OFFICE AT JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT, TERMINAL 2 ON TEL. NOS. 022-2842738 OR 0713-540881 FOR FURTHER ASSISTANCE. WE WOULD LIKE TO WISH YOU A HAPPY SABA SABA DAY! MANAGEMENT - UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS LIMITED

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UNIGLOBE Skylink Travel and Tours July offers

For more information CLICK HERE

 

10 years ago

Michuzi

UNIGLOBE Skylink Travel & Tours Ltd Joins List of Top UNIGLOBE Agencies Worldwide

UNIGLOBE Skylink Travel & Tours Ltd based in Dar Es Salaam – Tanzania with branches in Arusha, Mwanza and Zanzibar has been named to the 2015 UNIGLOBE Chairman’s Circle for being among the top-performing TMCs in the UNIGLOBE system worldwide. 
“Annually, we award UNIGLOBE Chairman's Circle membership to travel management companies who meet or exceed our highest performance and operating standards, based on established criteria," says UNIGLOBE Travel International president and chief operating...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Safari ya Wakulima Kutoka ‘Saba Saba’ Dar 1977 Hadi ‘Nane Nane’ Dodoma 2014

Na Daniel Mbega, Iringa NAUKUMBUKA mwaka 1978 vizuri sana, kwani wakati huo nilikuwa bado kijana mdogo, nikiwa nimetinga lubega, sime kiunoni, fimbo mkono wa kulia na mkuki mkono wa kushoto, nikichunga ng’ombe huko ‘Tanganyika’, ambako maendeleo ndiyo kwanza tulikuwa tukiyasikia kupitia Redio Tanzania (kwa wale waliokuwa na redio za mkulima). Maendeleo ulikuwa msamiati mgeni kabisa, huku zikiwa kama simulizi ambazo hazikuwa na tofauti na zile za akina babu walizokuwa wakitupigia nyakati za...

 

11 years ago

GPL

‘MR UWAZI’ AGAWA ZAWADI SABA SABA KWA WASOMAJI

Mr. Uwazi akimkabidhi zawadi msomaji wa gazeti la Uwazi. Msomaji akinunua gazeti na kupiga picha na Mr. Uwazi…

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA DCB YAWAPA KIPAUMBELE WA WAJASIRIMALI KATIKA MAONESHO YA SABA SABA

Baadhi ya wateja wakiwa katika banda la wajasiriamali walionufaika na huduma za kibenki na  DCB katika meonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere. Afisa Mauzo wa Benki ya DCB,Tatu Shija( katikati) akiwa na wajasiriamali walionufaika na huduma za kibenki na  DCB wakinyesha bidhaa zao  katika meonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere. Afisa Mauzo wa Benki ya DCB, Rashid Ngwali (amenyosha mkono) akitoa maelezo kwa wananchi...

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YANG’ARA KWENYE MAONESHO YA SABA SABA

Mjiolojia Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Mwara Shoo akitoa maelezo kwa mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini kwenye maonesho ya kimataifa ya Saba Saba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.Afisa Utaalam Elekezi kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Advera Mwijage akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda hilo.Wataalam kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi...

 

11 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LATOA HUDUMA MBALIMBALI MAONESHO YA SABA SABA

Wafanyakazi wa shirika la Posta wakiwa katika picha ya pamoja katika banda lao ndani ya  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Mmoja wa Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania,akimuelezea mmoja wa wateja wao aliefika kwenye banda lao kwa ajili ya kufahamu huduma mbalimbali zitolewazo na shirika hilo,kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani