Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


pele akishangilia timu yao 2014, na mambo aliyofanyaga enzi zake

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI PETER KALLAGHE ATOA BARAKA ZAKE KWA TIMU YA TANZANIA KATIKA MASHINDANO.YA AFRICAN NATIONS CUP UK 2014.

Balozi Peter Kallaghe leo amekutana na Uongozi na Team Captains wa timu inayowakilisha Tanzania katika Mashindano ya African Nations Cup UK 2014.  Mashindano hayo yanategemewa kuanza Kesho katika Viwanja vya WESTHAM MEMORIAL GROUNDS. MEMORIAL AVENUE E15 3BD.   WATANZANIA WOTE MNAOISHI UINGEREZA HUSUSAN MAENEO YA LONDON NA VITONGOJI VYAKE MNAOMBWA MJITOKEZE KWA WINGI KUISHANGILIA TIMU YETU. RATIBA KAMILI YA MECHI ZOTE NI KAMA ILIVYOAMBATANISHWA.   Kituo cha Karibu ni WESTHAM STATION iliyoko...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Norah Ajikumbushia Enzi Zake

Muigizaji mkongwe na maarufu nchini, Nuru nassoro, maarufu kama Norah, hivi karibuni amejikumbushia enzi zake alivyokuwa aking'ara kwenye magazeti na vyombo mbali mbali vya habari miaka ya 2000/2003.

Muigizaji huyo mwenye mvuto wa aina yake, ali post picha yake kwenye ukurusa wake wa instagram (@norahtanzania), ikimuonyesha staa huyo akiwa ameshika magazeti mbali mbali yaliyokuwa yamesheheni picha za mrembo huyo aliyetikisa kwenye filamu ya SIKITIKO LANGU.

“Throw back 2000/2003 utaniambia...

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA USHIRIKIANO KATI YA BODI YA UTALII TANZANIA NA TIMU YA SUNDERLAND YA NCHINI UINGEREZA WAKATI WA MECHI YAO NA TIMU YA CHELSEA

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeshirikiana na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland ya Uingereza katika uzinduzi wa utangazaji utalii wa Tanzania pamoja na uhamasishaji wa uwekezaji na maendeleo ya michezo (Destination Partner in Tourism and Sports Development). Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 29 Novemba, 2014 kwenye kiwanja cha “Stadium of Light”, kinachomilikiwa na Sunderland Association Football Club (SAFC).

Tukio hilo lilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Peter...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Chuo cha Mwalimu Nyerere charudi katika enzi zake

RAIS  wa kwanza wa Tanzania, Julius Nyerere alijipambanua kwa kuchukia mafisadi na watumishi wavivu. Maisha yake yote alilisimamia hilo na alipopata wasaa alikemea.

Ndio maana katika harakati za kupatikana uhuru wa Tanganyika, alibuni wazo la kuwa na chuo kitakachowafunza viongozi maadili ya umma na namna bora ya kutoa huduma, chuo hicho kilianza na makada wa chama cha Tanganyika National Union (TANU).

Baada ya uhuru viongozi wote walipoteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali walipitia...

 

11 years ago

TheCitizen

Brazil 2014: Pele worried about great expectations for forward Neymar

Brazil star Neymar is under too much pressure to deliver the hosts with a sixth World Cup trophy, football legend Pele told the BBC. The 22-year-old Barcelona striker -- who has scored seven goals in Brazil’s nine successive friendly wins leading into the finals -- is too young to be loaded with such expectations, said Pele ahead of the hosts opening game with Croatia in Sao Paulo today.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Why Pele thinks Neyamar’s Barca move was ‘genius’

Brazil icon Pele says he thinks Neymar has improved a great deal since he joined Barcelona and hailed the attacker as a “genius”.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Makumbusho ya Pele kivutio Santos, Brazil

>Hatimaye mfalme wa soka, Pele ametengenezewa jumba lake la makumbusho ambalo limefunguliwa Jumapili iliyopita kwenye mji wa Valongo mjini Sao Paulo, Brazil.

 

9 years ago

Global Publishers

Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!

AliensILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…

Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Barcelona wagomea uzi mpya wa timu yao

Nguvu ya umma haizuiliki. Hivyo, ndivyo unavyoweza kueleza uamuzi wa mashabiki wa klabu ya Barcelona kukataa jezi mpya za klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani