Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PINDA AAGANA NA BALOZI WA SAUDI ARABIA NCHINI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na balozi wa Saudi Arabia nchini Mhe. Hani Mominah baada ya mazungumzo yao.  Balozi huyo alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu  jijini Dar es salaam. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi balozi wa Saudi Arabia Nchini, Mheshimiwa Hani Mominah  baada ya mazungumzo yao. Balozi huyo alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PINDA AAGANA BALOZI WA SAUDI ARABIA NCHINI

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na balozi wa Saudi Arabia nchini Mhe. Hani Mominah baada ya mazungumzo yao.  Balozi huyo alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu  jijini Dar es salaam  leo Februari 13, 201 kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.,Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi balozi wa Saudi Arabia Nchini, Mheshimiwa Hani Mominah  baada ya mazungumzo yao. Balozi huyo alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 13, 2015 kuaga. Picha na ofisi ya...

 

10 years ago

Michuzi

MAMAKU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI SAUDI ARABIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ballozi mpya wa Tanzania nchini Saud Arabia, Hemed Mgaza, wakati alipofika kumuaga Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2015. Balozi Mgaza anakwenda nchini Saud Arabia, kuanza kazi rasmi baada ya kuteuliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete. Picha na OMR.

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ballozi mpya wa Tanzania nchini Saud Arabia, Hemed Mgaza, wakati alipofika kumuaga Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2015. Balozi Mgaza  anakwenda nchini Saud Arabia, kuanza kazi rasmi baada ya kuteuliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete. (Picha na OMR).

2

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA SAUDI ARABIA ANAYEMALIZA MUDA WAKE NCHINI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Saudi Arabia, Hani Abdullah Mominah, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Feb 12, 2015 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Saudi Arabia, Hani Abdullah Mominah, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Feb 12,...

 

10 years ago

Vijimambo

RE: WAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba wakati wa hafla ya Chakula cha Mchana iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kumuaga Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini, Mhe. Hani Abdullah Mominah ambaye amemaliza muda wake wa kazi. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro tarehe 18 Februari, 2015 Balozi Hani naye akitoa hotuba mbele ya wageni waalikwa Mhe. Waziri Membe akimkabidhi zawadi ya picha ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba wakati wa hafla ya Chakula cha Mchana iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kumuaga   Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini, Mhe. Hani Abdullah Mominah  ambaye amemaliza muda wake wa kazi. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro tarehe 18 Februari, 2015Balozi Hani naye akitoa hotuba mbele ya wageni waalikwaMhe. Waziri Membe akimkabidhi zawadi ya picha ya kuchora...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda aagana na Balozi wa Israel nchini

PG4A5222

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Balozi wa Israel nchini,  Gil Haskel na mkewe  Dalit Haskel (kulia)  Julai 17, 2014 ambao walikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).  PG4A5232

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AAGANA NA BALOZI WA ISRAEL NCHINI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na balozi wa Israel nchini, Gil Haskel na mkewe Dalit Haskel (kulia) Julai 17, 2014 ambao walikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AAGANA BALOZI WA TANZANIA NCHINI RUSSIA

Waziri Mkuu, Mizengo pinda kaizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Russia, Luteni Jenerali Wynjones Mathew Kisamba ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini dar es salaam Julai 18, 2014 kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani