Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorius kusalia gerezani zaidi

Kamati itakayoamua ikiwa Oscar Pistorius anapaswa kuachiliwa kutoka gerezani, inatarajiwa kukutana tarehe 18 mwezi ujao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake

Oscar Pistorius akiwasili katika mahakama ya Pretoria nchini Afrika kusini kusikiliza hukumu yake leo.
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashahidi zaidi kumtetea Oscar Pistorius

Jopo la utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius limeitisha mashahidi zaidi

 

11 years ago

BBCSwahili

Rodgers kusalia Anfield

Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers atia sahihi kandarasi ya muda zaidi Anfield.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Walcot Kusalia Arsenal

Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott anakaribia kuongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi mwaka wa 2019.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyikazi kusalia majumbani Liberia.

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf amewataka wafanyikazi wa serikali wasio na umuhimu mkubwa kusalia majumbani mwao

 

11 years ago

BBCSwahili

Toure: nataka kusalia Etihad

Kiungo wa Manchester City Yaya Toure anasema kuwa angependa kusalia Etihad milele.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtetezi wa ubaguzi kusalia jela SA

Mahakama imekataa kumwachilia aliyekuwa kiongozi wa kikosi cha kupinga harakati za ukombozi nchini Afrika Kusini, Eugene de Kock

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Walcott kusalia Arsenal

Meneja wa kilabu ya Arsenal Arsene Wenger ana imani kwamba Theo Walcot ataweka mkataba mpya na kilabu hiyo ya Ligi ya Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani