Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PSPF SEMINAR WITH GOVERNMENT SENIOR MANAGERS‏

Meneja Masoko, na Mawasiliano, wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, (Kushoto), akiwaongoza Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Utumishi, George Yambesi, (Kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo, Adam Mayingu, kuelekea ukumnbi wa semina ya watumishi wa serikali na taasisi zake mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ijumaa Agosti 29, 2014 Meneja Masoko, na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Government finally starts to repay Sh6.4tr it owes PSPF

>The government has started repaying part of the loan it owes the Public Service Pension Fund (PSPF), a senior official has said.

 

10 years ago

GPL

RE DAY TOW PSPF 4TH A GM‏

Kikundi cha wasanii mkoani Dodoma, kikitoa burudani kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, mjini Dodoma. Mkutano huo umemalizika leo Alhamisi Feb 19, 2015 Kaimu mkurugenzi wa fedha na utawala wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Yahaya Ally, akitoa taarifa ya fedha ya Mfuko huo wakati wa mkutano wa nne wa wanachama na wadau wa PSPF, mjini Dodoma. Mkutano huo ulioanza Februari 18,...

 

10 years ago

GPL

PSPF SUPPORTS CHILDREN'S CENTRE‏

Afisa Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (kulia), akipena mikono na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Vingunguti-Butiama jijini Dar es Salaam, Elvis Bwahama, wakati akikabidhi msaada wa mifuko ya sarufi tani 3 na mabati, kwa ajili ya ujenzi kwenye kituo cha kulea watoto walio katika mazingura magumu, cha Lukema. Hafla ya kukabidhin msaada huo kwa kituo hichomnkinacholea watoto 70, ilifanyika Ijumaa Machi 6,...

 

10 years ago

GPL

PSPF KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA MANISPAA, DAR NA PWANI‏

Mkurugenzi Mkuu wa PPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya utangulizi wakati wa kikao kazi cha siku moja ya maafisa na wakuu wa idara za Halmashauri za miji na Manispaa za mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, iliyofanyika makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam, Alhamisi Machi 26, 2015. Gabriel Silayo, Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Gabriel Silayo, akitoa mada kuhusu uwekezaji wa Mfuko huo, wakati wa kikao kazi...

 

10 years ago

GPL

THE GOVERNMENT OF TANZANIA EXPANDS ITS NEW BIRTH REGISTRATION SYSTEM TO MWANZA‏

Baby Veronica being registered. Baby Veronica and her Birth Certificate. UNICEF Tanzania Deputy Representative, Paul Edwards. The new system is set to drastically increase the number of children under 5 with birth certificates…

 

10 years ago

GPL

NEW UN RESIDENT COORDINATOR AND UNDP REPRESENTATIVE PRESENTS CREDENTIALS TO THE GOVERNMENT‏

The UN Resident Coordinator and UNDP Representative, Mr. Alvaro Rodriguez presents Copies of Credentials to Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation today.…

 

9 years ago

GPL

PSPF YATOA MSAADA WA MAGODORO CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM‏

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam, (Anayeshughulikia masuala ya Utawala), Profesa David Mfinanga, (Watatu kushoto), akipeana mikono na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (watatu kulia), wakati akipokea msaada wa magodoro 118 yaliyotolea wan Mfuko huo kwenye hafla fupi iliyofanyika chuon I hapo, Agosti 24, 2015. Magodoro hayo ni kwa ajili ya wanafunzi walioathiriwa na mogto uliozuka...

 

10 years ago

GPL

AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA KUTOKA PSPF‏

Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka  akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi  kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre tarehe 5.12.2014  Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho… ...

 

9 years ago

GPL

PSPF WATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI YA MADEREVA WA BODABODA WA KIPUNGUNI JIJINI DAR‏

Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma(kushoto) akikabidhi jezi kwa kapteni wa timu ya G Unity Fc kwa ajili ya mchezo wa fainali uliofanyika katika kiwanja cha Kipunguni B katika kata ya Kipunguni manispaa ya Ilala jijini Dar. Ambapo timu ya G Unity FC waliibuka washindi baada ya kuichapa timu ya Sukuma Land Fc bao 5 kwa 2. Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma (kushoto) akikabidhi jezi kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani