PSPF yakaribisha wanachama wa hiari
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umewashauri Watanzania wenye kazi na vipato tofauti kujiunga na mfuko huo chini ya mpango wa hiari. Akizungumza na waandishi wa habari wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
PSPF yakaribisha maombi mikopo ya nyumba
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umewataka wajasiriamali waliojiunga kupitia Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS) kuanza kukopa nyumba zinazojengwa na mfuko huo. Akizungumza na Tanzania Daima jana...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-y7rql3Tb5bs/VEEK9hwv0GI/AAAAAAAAMME/WYVeKy7n7yg/s72-c/Mayingu1.jpg)
MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI WA PSPF NI MKOMBOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-y7rql3Tb5bs/VEEK9hwv0GI/AAAAAAAAMME/WYVeKy7n7yg/s640/Mayingu1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3hS02R7jj5k/VEEK_Gc9xjI/AAAAAAAAMMM/QbZcs1tbwaI/s640/group.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
‘Watanzania jiungeni mpango wa uchangiaji wa hiari wa PSPF’
WATANZANIA wameshauriwa kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari wa mfuko wa Pensheni wa PSPF, ili kujiongezea kipato na kuishi maisha ya staha. Ushauri huo ulitolewa mwishoni mwa wiki mjini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BqroSaig0J4/VEEBtA06MfI/AAAAAAAGrNs/zxUKC7mpyjs/s72-c/mAYINGU2.jpg)
MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI WA PSPF NI MKOMBOZI - ILOMO
Bw. Ilomo alisema hayo Mjini Bagamoyo wakati wa semina iliyoandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwa ajili ya Maafisa Rasilimali Watu kutoka wakala mbalimbali za Serikali
Kutokana na mabadiliko kwenye sekta ya hifadhi ya jamii, PSPF ilianzisha Mpango wa Uchangiaji wa Hiari maarufu kama PSS ili kuweza...
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Wachangiaji wa hiari PSPF kupatiwa fao la matibabu
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Wasio na ajira rasmi kunufaika uchangiaji wa hiari PSPF
MABADILIKO katika sekta ya hifadhi ya jamii yameleta neema baada ya kuwepo na mabadiliko ya sheria ya mfuko. Sheria ya mfuko inaruhusu kusajili wanachama katika sekta zote za umma na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MYqzs3rtb9c/VZT0eX5ewvI/AAAAAAAC8FQ/5INs1D4pF88/s72-c/0.jpg)
JK: PSPF ENDELEENI KUTOA ELIMU YA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MYqzs3rtb9c/VZT0eX5ewvI/AAAAAAAC8FQ/5INs1D4pF88/s640/0.jpg)
· Wengi wajiuga na Mpango huoRAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameushauri Mfuko wa Pensheni wa PSPF kuendelea kutoa elimu ya Mpango wa uchangiaji wa hiari kwa watanzania.
Mheshimiwa Rais alisema hayo mwishoni mwa wiki...
10 years ago
GPLKIKWETE: PSPF ENDELEENI KUTOA ELIMUYAMPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI