Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PSPF yakaribisha wanachama wa hiari

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umewashauri Watanzania wenye kazi na vipato tofauti kujiunga na mfuko huo chini ya mpango wa hiari. Akizungumza na waandishi wa habari wakati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF yakaribisha maombi mikopo ya nyumba

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umewataka wajasiriamali waliojiunga kupitia Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS) kuanza kukopa nyumba zinazojengwa na mfuko huo. Akizungumza  na Tanzania Daima jana...

 

10 years ago

Vijimambo

MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI WA PSPF NI MKOMBOZI

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adfam Mayingu, (Wakwanza kushoto), Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Mfuko huo, Gabriel Silayo, (Wapili kushoto) na Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa Mfuko huo, .Mwanjaa Seme, wakiwafafanulia huduma mbalimbali zitolewazo na Mfuko, baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja ya mameneja rasilimali watu kutoka wakala za serikali, mwishoni mwa warsha hiyo iliyofanyika mjini BagamoyoMgeni rasmi Peter Ilomo, (Suti Nyeusi katikati waliokaa),...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Watanzania jiungeni mpango wa uchangiaji wa hiari wa PSPF’

WATANZANIA wameshauriwa kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari wa mfuko wa Pensheni wa PSPF, ili kujiongezea kipato na kuishi maisha ya staha. Ushauri huo ulitolewa mwishoni mwa wiki mjini...

 

10 years ago

Michuzi

MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI WA PSPF NI MKOMBOZI - ILOMO

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Ikulu Bw. Peter Ilomo amewashauri watanzania kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF ili kujiongezea kipato na hatimaye kuishi ya staha.
Bw. Ilomo alisema hayo Mjini Bagamoyo wakati wa semina iliyoandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwa ajili ya Maafisa Rasilimali Watu kutoka wakala mbalimbali za Serikali
Kutokana na mabadiliko kwenye sekta ya hifadhi ya jamii, PSPF ilianzisha Mpango wa Uchangiaji wa Hiari maarufu kama PSS ili kuweza...

 

9 years ago

Mwananchi

Wachangiaji wa hiari PSPF kupatiwa fao la matibabu

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF), wameingia mkataba wa ushirikiano wa kutoa huduma ya afya kwa wanachama wa mpango wa uchangiaji wa hiari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasio na ajira rasmi kunufaika uchangiaji wa hiari PSPF

MABADILIKO katika sekta ya hifadhi ya jamii yameleta neema baada ya kuwepo na mabadiliko ya sheria ya mfuko. Sheria ya mfuko inaruhusu kusajili wanachama katika sekta zote za umma na...

 

10 years ago

Michuzi

JK: PSPF ENDELEENI KUTOA ELIMU YA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu alipotembelea banda la PSPF katika sherehe za siku ya Magereza zilizofanyika Ukonga jijini Dar es Salaam Mwishoni mwa wiki iliyopita.
·     Wengi wajiuga na Mpango huoRAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameushauri Mfuko wa Pensheni wa PSPF kuendelea kutoa elimu ya Mpango wa uchangiaji wa hiari kwa watanzania.
Mheshimiwa Rais alisema hayo mwishoni mwa wiki...

 

10 years ago

GPL

KIKWETE: PSPF ENDELEENI KUTOA ELIMUYAMPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI

    Mheshimiwa RaisJakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipatamaelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu alipotembelea banda la PSPF katika sherehe za siku ya Magereza zilizofanyika Ukonga jijini Dar es Salaam Mwisho ni mwa wiki iliyopita.
    Mkurugenzi mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu (kushoto) akiwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu (katikati) na Kamanda wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani