Rais Kikwete affungua Mkutano wa Shirikisho la Vyuo vya elimu ya Juu Dodoma
Rais Kikwete akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa kwanza wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya Juu mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akinyanyua juu nakala za kanuni za Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya Juu kuzizindua rasmi wakati wa Mkutano wa Kwanza wa Shirikisho hilo uliofanyika katika ukumbi wa Kilimani mjiini Dodoma leo. Kulia ni katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana,watatu kulia ni Makamu Mweyekiti wa CCM Bara Ndugu Philip Mangula na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
JK afungua Mkutano wa Shirikisho la Vyuo vya elimu ya Juu Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gOv0Ul8noCE/VWOTr3EZV9I/AAAAAAAHZxs/n5w86wlGkpY/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
10 years ago
GPLMAGUFULI APONGEZWA NA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0BjELxHWj8/VaaGa8wjXiI/AAAAAAAHp9I/ShupN7SWrVk/s72-c/1.jpg)
TAMKO LA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA-CCM
SHIRIKISHO la Taifa tunawapongeza wajumbe wote wa vikao vyote vya maamuzi ndani ya chama chetu kwa kutenda haki na kumteua mgombea safi, muadilifu, mchapa kazi, mzalendo, ambaye hakuwa na kundi na hadi kwa sasa hana kundi, mwenye dhamira ya dhati na utashi wa kudumisha umoja na mshikamano ndani na nje ya chama chetu.
Shirikisho Taifa tunapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza Mheshimiwa Daktari John Pombe Magufuli na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kuteuliwa kuwa wapeperusha bendera ya CCM...
10 years ago
Michuzi23 Oct
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-68rqpSq_LpE/VnVNeOwJcFI/AAAAAAAA1-s/sOT1crjrrRA/s72-c/1.jpg)
SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAJA NA MIKAKATI MIPYA KIUTENDAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-68rqpSq_LpE/VnVNeOwJcFI/AAAAAAAA1-s/sOT1crjrrRA/s320/1.jpg)
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyuo Vikuu Zainab Abdallah, akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam, Wengine kutoka kushoto ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Daniel Zenda, Katibu wa Idara ya Uchumi na Fedha, Luhende Luhende na Katibu wa Idara ya Elimu, Tafiti na Uongozi, Ally Hapi. (Picha na Bashir Nkoromo).
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa habari,
Kamati ya Uratibu ya Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Taifa, ilifanya...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-GVFctmZI7VQ/VnKd3E5h9xI/AAAAAAAAsVA/zQFrR-10Mlg/s72-c/6.jpg)
KAMATI YA URATIBU YA SHIRIKISHO LA VYUO ELIMU YA JUU YAANZA VIKAO VYA SIKU MBILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-GVFctmZI7VQ/VnKd3E5h9xI/AAAAAAAAsVA/zQFrR-10Mlg/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vajLGAFzU5w/VnKd5PJVAdI/AAAAAAAAsVI/R7OlH_KEraI/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oGTxUjvHq-M/VnKd821cMKI/AAAAAAAAsVY/i49INiRGgmU/s640/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Mar
Kinana akutana na wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-tKCtwqBu-ug/VPqyUBcgFZI/AAAAAAAAXoc/XbLMiu6HT4Y/s1600/01.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa nje ya ukumbi wa NEC maarufu kama white house mjini Dodoma tayari kwa kukutana na wanafunzi wa Shirikisho la vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2w7yDlX-CxE/VPqyTtCMxwI/AAAAAAAAXoU/TJJTK4chPNg/s1600/02.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma kabla ya kuingia kwenye mkutano kwenye ukumbi wa mikutano wa NEC maarufu kama White House,CCM makao makuu Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-nf8GXGUwSUc/VPqyYzqkY9I/AAAAAAAAXpc/6lHKe9NTNCM/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tKCtwqBu-ug/VPqyUBcgFZI/AAAAAAAAXoc/XbLMiu6HT4Y/s72-c/01.jpg)
KINANA AKUTANA NA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-tKCtwqBu-ug/VPqyUBcgFZI/AAAAAAAAXoc/XbLMiu6HT4Y/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2w7yDlX-CxE/VPqyTtCMxwI/AAAAAAAAXoU/TJJTK4chPNg/s1600/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nf8GXGUwSUc/VPqyYzqkY9I/AAAAAAAAXpc/6lHKe9NTNCM/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jun
wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mjini dodoma wahaha kusaka usafiri
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6CoGsPw1Zw/U7AA0Y57TrI/AAAAAAAAuuA/zRoQ9ZvRKyU/s1600/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-Ubs4ii7JqUM/U7AA2EImJmI/AAAAAAAAuuI/CpU90VyKFkA/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-um9DKxBNykA/U7AA2N1_XiI/AAAAAAAAuuM/5hFQZNVkaoQ/s1600/3.jpg)