RAIS KIKWETE MGENI RASMI MAADHIMISHO SIKU YA SHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oa0HKGhB29Q/VMlck3l7MkI/AAAAAAAHAE4/T9yR_RhG2uE/s72-c/Mahakama%2B-1.jpg)
Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Othman Chande (Kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini mwaka 2015. Maadhimisho hayo yanaongozwa na maudhui yasemayo “ Fursa ya kupata haki: wajibu wa Serikali, Mahakama na wadau”. Kushoto ni Mh. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu wa Mahakama.
Msajili Mkuu wa Mahakama, Ignas Kitus (kulia) akizungumza akifafanua jambo wakati Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Othman Chande alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TT0-1Y68s00/VNIAcPvdpHI/AAAAAAAHBhM/a4yzgIDUQsQ/s72-c/MMGL0478.jpg)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TT0-1Y68s00/VNIAcPvdpHI/AAAAAAAHBhM/a4yzgIDUQsQ/s1600/MMGL0478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPJMSv7uNrs/VNIAY1U9tHI/AAAAAAAHBhE/wK_5uCFjNt8/s1600/MMGL0472.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EbgquWvymcE/VNIAc3Y6UrI/AAAAAAAHBhU/20KCfcSUXII/s1600/MMGL0262.jpg)
PICHA ZAIDI ZINAKUJIA HIVI PUNDE
11 years ago
CloudsFM26 Jul
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA SIKU YA JANA
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao kwenye mnara wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika jana katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Mohamed Ali Shein kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam jana. Wengine ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WKyM3IlQ0Lo/VXhgJiWEEDI/AAAAAAAHehE/ENJaSUJ9Q_8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA ALBINO ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda alisema wamepata fursa ya kuwa wenyeji kutokana na kutokua na matukio ya ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na takwimu za mkoa wapo Albino 199.
“Mkoa una jumla ya watu wenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeHUNvnZryrKF5jUJRlx1qcWZtMc91fkrOvPYv*vN-fdNoKU9X1owJqjgkGH30F4lfFnrSrnvGP-aX6h6jZm*5er/ma39.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-74sZa5EKTlw/VbIrzqddDlI/AAAAAAAHriA/J629HKQqm40/s72-c/image.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-74sZa5EKTlw/VbIrzqddDlI/AAAAAAAHriA/J629HKQqm40/s640/image.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QUVW2x_uJAU/VbIrzd0fDoI/AAAAAAAHrh4/QvxoIuWzVKs/s640/image_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o_UnF79TIBU/VbIr07JaxFI/AAAAAAAHriI/5kEdFVJpkKI/s640/image_2.jpg)
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Rais Kikwete mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 10 ya utumishi wa umma
Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi Claudia Mpangala akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Kongamano la maadhimisho ya Miaka 10 ya Tume hiyo tangu kuanzishwa kwake ambapo Kongamano hilo litawahusisha Mawaziri, KatibuMkuu Kiongozi na Watendaji Wakuu kutoka katika Wizara, Idara zinazojitegemea,Taasisi na Mashirika ya Umma. Kulia ni Naibu katibu wa Tume hiyo Bi NeemaTawale.
11 years ago
Michuzi14 Jun
MAMA SALMA KIKWETE AWASILI KIGOMA AKIWA MGENI RASMI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU SALAMA KITAIFA.
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO SIKU YA MADAWA YA KULEVYA MBEYA
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Makamu wa rais mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya usalama na afya duniani, katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na viongozi mbalimbali alipowasili kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo April 28-2014, kwa ajili ya kuhutubia wananchi kwenye maadhimisho ya siku ya usalama na Afya Duniani.
Afisa mkuu mwandamizi wa mazingira katika mamlaka ya Bandari Thobias Sonda akimpa maelezo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, juu ya utumiaji wa vifaa vya...