Rais wa Uturuki aitisha uchaguzi mkuu
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, ametangaza uchaguzi mkuu. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba mosi mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Waziri Mkuu, Majaliwa Aitisha Kikao na Baraza la Mawaziri
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
10 years ago
Dewji Blog09 May
Rais aitisha kikao cha wakuu wa EAC kujadili Burundi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, ameitisha mkutano wa wakuu wenzake wa nchi hizo tano wa EAC, Jumatano ijayo, Mei 13, 2015, kujadili hali ilivyo katika Burundi, kwa kadri nchi hiyo inavyojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Juni 26, mwaka huu.
Rais Kikwete ametangaza habari ya kuitisha mkutano huo wakati alipozungumza na waandishi wa habari katika Makao...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PHyjBmKI9K4/Vd71wO6nT6I/AAAAAAAH0Y0/-emk9ILJyYU/s72-c/k1.jpg)
RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA ZIMBABWE NA KUONANA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA NMB IKULU JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-PHyjBmKI9K4/Vd71wO6nT6I/AAAAAAAH0Y0/-emk9ILJyYU/s640/k1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OCQYlFJSu8E/Vd71wE0paOI/AAAAAAAH0Y4/oAHzXozn2m4/s640/k2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bk87_00qIvE/Vd--4PTw3UI/AAAAAAAD4zs/SrOV2DAyWz8/s72-c/k1.jpg)
RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA ZIMBABWE NA KUONANA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA NMB IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-bk87_00qIvE/Vd--4PTw3UI/AAAAAAAD4zs/SrOV2DAyWz8/s640/k1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5yqHMsnJbjg/Vd--4-cwD2I/AAAAAAAD4zw/EOJyhUiPCkk/s640/k2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s72-c/CCM-Logo.jpg)
RATIBA KAMILI YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CCM WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s640/CCM-Logo.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIANATAREHESHUGHULI/MAELEZO115 – 30/06/2020Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.215 – 30/06/2020Kutafuta wadhamini Mikoani.VIKAO VYA UCHUJAJI306 – 07/07/2020Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.408/07/2020Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.509/07/2020Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa: Kufikiria na kutoa Mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-j6IjkJzDnnE/XuONQcwPCGI/AAAAAAACNGI/ClN9cZlEkxgZwNFne_wWjHDuTDWR5RjgwCLcBGAsYHQ/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-j6IjkJzDnnE/XuONQcwPCGI/AAAAAAACNGI/ClN9cZlEkxgZwNFne_wWjHDuTDWR5RjgwCLcBGAsYHQ/s1600/download%2B%25281%2529.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA TAREHE SHUGHULI/MAELEZO 1 15 – 30/06/2020 Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni. 2 15 – 30/06/2020 Kutafuta wadhamini Mikoani. VIKAO VYA UCHUJAJI 3 06 – 07/07/2020 ...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU, MAJALIWA AITISHA KIKAO CHA KAZI CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/TCm_nhcPgCA/default.jpg)
RAIS MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI WA WALIMU
MICHUZI BLOG, JUNE 05, 2020 HABARI, IKULU,
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s400/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f994c205-9286-4e75-90d6-eda3022ac964.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9ae7fd77-e096-44bc-82d6-94b3ed222063.jpg)