Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA YA MECHI ZA WIKIENDI HII MWENDO WA KUKAMATANA JEZI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ratiba ya mechi za ligi kuu Uingereza wikiendi hii

Ligi kuu ya Uingereza inatarajiwa kuendelea wikiendi hii. Mechi kali inatarajiwa kuwa kati ya vinara wa ligi, Manchester United dhidi ya Arsenal katika dimba la Emirates siku ya Jumapili. Hii ndio ratiba kamili: Jumamosi 3 Oktoba 14:45 Crystal Palace v. West Brom 17:00 Aston Villa v. Stoke 17:00 Bournemouth v. Watford 17:00 Man City v. […]

 

10 years ago

BBCSwahili

EPL kuendelea wikiendi hii

Ligi ya England itaendelea tena wikiendi hii kwa nyasi za viwanja saba kuwaka moto siku ya jumamosi

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Zari na Diamond kuiteka Uganda wikiendi hii

12301398_1675226496024383_418418585_n

Diamond na mchumba wake Zari The Bosslady wataiteka Kampala, Uganda wikiendi hii.

12301398_1675226496024383_418418585_n

Wote watakuwa na show tofauti.

Zari atakuwa na All White Party Alhamis hii kwenye kiota cha Guvnor huku Diamond Ijumaa hii akitumbuiza kwenye uwanja wa cricket wa Lugogo akiwa na msanii wa Nigeria, Patoranking kwenye show ya Born 2 Win.

Tayari Zari ameshawasili nchini humo huku Diamond akitarajiwa kuwasili leo au kesho.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram...

 

9 years ago

Habarileo

Ligi Daraja la Kwanza kunguruma wikiendi hii

LIGI Daraja la Kwanza chini (FDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali kutoka katika makundi yote matatu ya A, B, na C.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani