Ratiba ya Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge Novemba 4 -28, 2014
parliament_timetable_november_2014(1).pdf by moblog
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Nov
11 years ago
Michuzi06 Aug
11 years ago
Michuzi08 May
11 years ago
Michuzi03 Nov
11 years ago
Michuzi
RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM TAREHE 17 HADI 21 MACHI, 2014

Tarehe 17/3/201 kuanzia saa 3:00 asubuhi kutakuwa na kiapo kwa Wajumbe wa Bunge Maalum ambao bado hawajaapishwa. Hivyo Wajumbe wote ambao hawajaapa kiapo cha ujumbe wa Bunge Maalum wanatangaziwa kufika Idara ya Shughuli za Bunge Maalum kesho saa 2:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya kutambuliwa.
Saa 11:00 jioni...
10 years ago
Michuzi.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Matokeo ya jana Jumamosi Novemba 7 na ratiba ya michezo ya leo Novemba 8 katika ligi kubwa tano (5) barani Ulaya
ENGLAND – PRIMEAR LEAGUE
Bournemouth 0 – 1 Newcastle United
West Ham United 1 – 1 Everton
Sunderland 0 – 1 Southampton
Norwich City 1 – 0 Swansea City
Manchester United 2 – 0 West Bromwich Albion
Leicester City 2 – 1 Watford
Stoke City 1 – 0 Chelsea
HISPANIA- PRIMERA DIVISION
Celta de Vigo 1 – 5 Valencia
Levante 1 – 1 Deportivo de La Coruña
Eibar 3 – 1 Getafe
Rayo Vallecano 2 – 1 Granada
Málaga 0 – 1 Real Betis
UJERUMANI – BUNDESLIGA
FSV Mainz 2 – 0 VfL Wolfsburg
Bayer Leverkusen 1 – 2...
10 years ago
Michuzi24 Jan
11 years ago
Michuzi.jpg)
BUNGE LAAHIRISHWA HADI NOVEMBA 4, 2014
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
Mwanasheria Mkuu Mhe.Jaji Frederick Werema akimpa mkono wa kumpongeza Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda mara baada ya kulihuitubia Bunge.
.jpg)