Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rich Mavoko kunogesha shoo ya Instagram Party Zanzibar

bana2

Na  Andrew Chale

MSANII nyota nchini, Richard Martin maarufu Rich Mavoko anatarajiwa kutumbuiza kwenye shoo kali na ya aina yake ya Instagram Party  Zanzibar itayofanyika ndani ya Zanzibar Beach hotel, Novemba Mosi  mwaka huu.

Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo kampuni ya Bond Entertainment, kupitia kwa msemaji wa kampuni hiyo Mackson Madoro  alieleza kuwa kila kitu kipo sawa kwa ajili ya tukio hilo  ambapo mpaka sasa wadau na wapenzi wa burudani wakiwemo wa ndani na nje ya Visiwa hivyo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Rich Mavoko kunogesha shoo ya Instagram Part Zanzibar

NA ANDREW CHALE
MSANII nyota nchini, Richard Martin maalufu Rich Mavoko anatarajiwa kutumbuiza kwenye shoo kali na ya aina yake ya Instagram Part Zanzibar itayofanyika ndani ya Zanzibar Beach hotel, Novemba Mosi mwaka huu.
Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo kampuni ya Bond Entertainment, kupitia kwa msemaji wa kampuni hiyo Mackson Madoro alieleza kuwa kila kitu kipo sawa kwa ajili ya tukio hilo ambayo mpaka sasa wadau na wapenzi wa burudani wakiwemo wa ndani na nje ya Visiwa hivyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko aeleza ya moyoni

MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Rich Mavoko — Tururu

Hii ndo ngoma Mpya kutoka kwa Rich Mavoko ngoma inaitwa “Tururu” imefanyika katika Studio za Sharo Baro Records Producer Bab Junior

 

9 years ago

Bongo5

Music: Rich Mavoko – Naimani

Rich-Mavoko-Naimani

Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko: Ring-tone ni unyonyaji

NYOTA anayefanya vema katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Richard Mavoko ‘Rich Mavoko’, amesema haoni umuhimu wa kuweka nyimbo zake kwenye mfumo wa ‘ring-tone’ wa mitandao ya simu....

 

9 years ago

Bongo5

Music: Princet Ft Rich Mavoko — Tonight

Princet Ni kundi la Muziki Kutoka Nchini Nigeria, Walikuja Tanzania Nia na Madhumuni Kufanya Kazi na Studio ya Mazuu Record…Toka wakiwa nchini kwao walivutiwa na Kazi zilizofanyika studio ya mazuu ..Kazi iliyofanya kutamani kurekodi mazuu record ni wimbo Wa “Pacha Wangu” Rich Mavoko waliisikia na Wakaipenda wakati ikichezwa kwenye kituo cha Redio nchini Kwao. Jiunge […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani