RPC Tabora amkingia kifua mtuhumiwa
HATMA ya Mkuu wa Kituo cha Polisi Igunga mkoani Tabora, SP Edson Mfuru anayedaiwa kumuachia mtuhumiwa Magata Singu anayetuhumiwa kumpa mimba mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa 14...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Maximo amkingia kifua Jaja
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Marcio-Maximo.jpg)
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amemkingia kifua mchezaji wake, Mbrazil Genilson Santos ‘Jaja’ kwa kuwataka mashabiki wasitegemee vitu vingi kutoka kwa wachezaji warefu kwani wana vitu vichache vyenye mafanikio.
Maximo aliyasema hayo juzi baada ya mechi yao ya kirafiki dhidi ya Thika United ya nchini Kenya iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 lilofungwa na Jaja,...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Ndesamburo amkingia kifua Lowassa
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikionekana kutikiswa na ushawishi wa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, wa kutaka kutimiza safari yake ya kuwapatia Watanzania elimu bure, Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Zidane amkingia kifua Benzema Ufaransa
MADRID, HISPANIA
NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane, amekitaka Chama cha soka nchini humo (FFF), kulitupilia mbali suala la Karim Benzema la kashfa ya kumiliki mkanda wa ngono.
Chama hicho kwa kushirikiana na waziri wa michezo nchini humo, walisema wanaendelea na uchunguzi ili kuhakikisha kama kweli mchezaji huyo anahusika katika vitendo hivyo na kama anahusika anatakiwa kufungiwa maisha kuitumikia timu hiyo ya taifa.
Ufaransa watakuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1JlXS-EYFjiNAbkhJvW-MtNSOwo0q8kB-U3Op1pKuaXceoQ5BmNxSyhZfoCVE9yKvqls*TCuU372hmfndLiqgr/JOKATE.jpg?width=650)
KIONGOZI WA KANISA AMKINGIA KIFUA JOKATE
9 years ago
Bongo Movies07 Sep
Aunty Ezekiel Amkingia Kifua Iyobo
KUFUATIA kuwepo kwa madai na minong’ono mingi ya msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel kumzidi umri mzazi mwenzake, Moses Iyobo, muigizaji huyo ‘amewaka’ na kuwataka watu wasiingilie uhusiano wao na kwamba suala la umri kwao ni namba tu.
‘Akibananishwa ukutani’ na mwandishi wetu kwa maswali magumu hivi karibuni, Aunt alisema amekuwa akiumizwa na maneno yanayoendelea juu ya kumzidi umri Iyobo, na kusema hayuko tayari kuona uhusiano huo ukivunjwa kwa maneno ya aliowaita “wakosa kazi”.
“Kwani...
9 years ago
GPLAUNTY EZEKIEL AMKINGIA KIFUA IYOBO
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Amri Said amkingia kifua kocha Phiri
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Pluijm amkingia kifua beki Mtogo
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Kocha Kerr amkingia kifua Kiongera