sala kwa "Messi", Isihaka wakipute Real Madrid
Endapo watafanikiwa kukiputa katika klabu tajiri duniani, Real Madrid , basi itakuwa ni habari njema kwa soka la Tanzania,
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Feb
HASSAN ISIHAKA NA RAMADHAN SINGANO KUFANYA MAJARIBIO REAL MADRID
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114070136_simba_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Endapo watafanikiwa kucheza timu ya vijana ya klabu tajiri duniani, Real Madrid ya Uhispania, basi itakuwa ni habari njema kwa soka la Tanzania, ambayo wachezaji wake kadhaa wamekuwa wakifeli majaribio ya kucheza soka la kulipwa ughaibuni, hasa nchi za Ulaya katika miaka ya nyuma.
Kufuatia tetesi za kutakiwa kwenda kufanya majaribio Real Madrid, mashabiki wa soka wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam wamewaombea wachezaji wao kila la kheri katika majaribio yao ili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGbWYkXOwmQELODiir7497IZJaqYKX8tOHvCyute0SIXf1AiJJlHTutSHzNelVC0u-I6nDR3RIk8qhrb-*YVsrx/messi.jpg)
EL CLASICO: LIONEL MESSI APELEKA VILIO KWA WAPENZI WA REAL MADRID BAADA YA KUTUPIA 'HAT-TRICK'
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s72-c/degea-1431735082.jpg)
THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID
![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s400/degea-1431735082.jpg)
De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7IhNpLMfA0/VZd270Y6xRI/AAAAAAAACbA/Z8T9ox6NVkA/s400/22B224DE00000578-0-image-a-47_1435960515677.jpg)
11 years ago
BBCSwahili30 Apr