SEMINA YA MAKATIBU WA MIKOA NA MAKATIBU WASAIDIZI WA TUICO YAFANYIKA MJNI MOROGORO.
Katibu wa TUICO mkoa wa Pwani Kassim Matewele akitoa hoja katika semina ya makatibu wa mikoa na makatibu wasaidizi wa tuico mkoani morogoro.
Nyuso za furaha, baadhi ya makatibu wasaidizi wa TUICO wakiwa katika semina hiyo.
Katibu wa TUICO kanda ya kaskazini Hussen Ngowi akitoa hoja katika semina hiyo.
Baadhi ya makatibu wasaidizi wa TUICO wakiwa katika semina inayofanyika katika hotel ya New Savoy mjini Morogoro.
Makatibu wakuu wa mikoa na wasaidizi wa TUICO wakiwa katika picha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA NAIBU MAKATIBU WAKUU LEO MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yH5rTfyjFA8/Va-A_XtUkII/AAAAAAAHrA0/Vdfh-sdz7hg/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zIw95QuMuGk/VE5hKBoj_9I/AAAAAAAGtqw/RZXY3Pf-glI/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
BALOZI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA ,MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-zIw95QuMuGk/VE5hKBoj_9I/AAAAAAAGtqw/RZXY3Pf-glI/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ePfuZMOtRgU/VE5hMObGuPI/AAAAAAAGtq4/pCPj-zXEvQI/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubw6j0Cgo_E/VE5hMSnljVI/AAAAAAAGtq8/uRoo1-WuTR0/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GRhTpjSq4IU/VE5hMg87HKI/AAAAAAAGtrA/9kWrn9FphdA/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s72-c/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
BALOZI SEFUE AONGOZA SEMINA ELEKEZI YA SIKU MOJA KWA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s640/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EW_9heKjo3k/VofTZIxXbSI/AAAAAAAIP3k/j3RDiPoKX_c/s640/32461e58-2202-41b7-ab40-5c9d34cf6987.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9bqIpjBTLLA/VofTgqJNXzI/AAAAAAAIP30/IMj-aapt67s/s640/4f01b802-e7c6-4c2c-92e6-788711775102.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a3bA2icJ1VI/VofThRQ6cTI/AAAAAAAIP34/lSEqqn0HTGg/s640/4fc6420c-51c8-453d-b799-7121f57db92e.jpg)
9 years ago
CCM Blog04 Jan
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-U9MHjjlEWcY/VFtu1D7NXzI/AAAAAAAGvzA/pPKzgZeOo6I/s1600/unnamed%2B%2839%29.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU, MABALOZI,WAKUU WA MIKOA NA MAKATIBU TAWALA WAPYA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
CCM BlogBALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA RASMI SEMINA ELEKEZI KWA MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
FATILIA LIVE HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAKATIBU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU INAYOYANYIKA IKULU HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
BOFYA HAPA KUONA LIVE HAFLA HIYO
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Rais Magufuli afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu na Kaimu Naibu Kamishn TRA Nchini!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Ikulu jijini Dar es Salaam jioni ya leo December 30, 2015. Kushoto ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, na kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakisikiliza kwa makini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
Katibu Mkuu...