Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulio lafanyika Kanisa la Marekani

Mtu mmoja ameshambulia Kanisa la Methodist nchini Marekani, huku kukiwa na taarifa za vifo ambazo bado kuthibitishwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

9 wauawa katika shambulio Marekani

Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha na pikipiki.

 

10 years ago

GPL

TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO MAREKANI

Eneo ambapo shambulio hilo limefanyika. Migahawa ikiwa imefungwa baada ya tukio hilo kutokea. Polisi akiangalia hali ya usalama katika eneo hilo.…

 

10 years ago

StarTV

Watu 9 wauawa katika shambulio Marekani

Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki katika mkahawa mmoja katika mji wa Waco.

Hata hivyo watu wengine 18 walipelekwa hospitali kupatiwa matibabu kutokana shambulio hilo.

 

Maofisa katika mji huo wanasema kuwa walibaini mkusanyiko kati ya watu watano walioonekana kupanga jambo lisilo la kawaida.

 

Watu waliokuwa katika mkahawa huo walijificha katika chumba cha majokofu katika harakati za...

 

10 years ago

BBCSwahili

2 wauawa katika shambulio jipya Marekani

Saa chache baada ya rais Obama kulalamikia mauaji yanayofanywa kutumia silaha nchini Marekani, 2 wameuawa katika shambulio jipya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaumu Afghanistan kwa shambulio Kunduz

Marekani amesema wanajeshi wa Afghanistan ndio walioomba majeshi ya taifa hilo yashambulie kliniki iliyokuwa ikitumiwa na shirika la MSF mjini Kunduz.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda al-Raymi auawa na shambulio la Marekani

Qasim al-Raymi, Kiongozi wa kundi la AQAP tangu mwaka 2015, ameuawa na vikosi vya Marekani vilivyokuwa vikitekeleza operesheni zake nchini Yemen.

 

10 years ago

GPL

TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI MAREKANI

Hali ya sintofahamu ikitanda katika eneo la Charleston baada ya kutokea  shambulio hilo. Askari wakiwa katika harakati za kuimarisha ulinzi eneo la tukio. Barabara zikifungwa. Waumini wa kanisa la AME na watu wa majirani wa eneo la tukio wakiwa katika majonzi baada ya kutokea…

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Marekani walioathirika ubongo kutokana na shambulio la Iran wafikia 109

Awali rais Trump alisema kwamba hakuna mwanajeshi yeyote wa Marekani aliyejeruhiwa kufuatia shambulio hilo la kambi ya Marekani nchini Iraq.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa Marekani waonya dhidi ya shambulio la kigaidi katika hoteli moja Nairobi Kenya

Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa onyo kwamba magaidi huenda wakashambulia hoteli moja kubwa nchini Nairobi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani