Shamra shamra za ufunguzi wa ZIFF 2014 ndani Ngome Kongwe Unguja
Jukwaa litakalotumika kwa masuala ya burudani kuanzia leo Juni 14 hadi 22 ndani ya Ngome Kongwe katika ukumbi wa Mambo Club linavyoonekana muda huu kwenye hatua ya mwisho kuelekea ufunguzi rasmi saa moja jioni.(Picha na Zainul Mzige modewjiblog)
Opening Night: Mandela: Long Walk to Freedom
June 14th 20:20 Old Fort Ampitheatre
Opening Night Concert:
June 14th Mambo Club
Tamaduni Music (Tanzania) followed by BODY, MIND & SOUL (Malawi)
Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Andrew Chale...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00021.jpg)
SHAMRA SHAMRA ZA UFUNGUZI WA ZIFF 2014 NDANI NGOME KONGWE UNGUJA
11 years ago
Michuzi14 Jun
SHAMRA SHAMRA ZA UFUNGUZI WA ZIFF 2014 NDANI NGOME KONGWE UNGUJA JIONI HII
![DSC_0034](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0034.jpg)
![DSC_0042](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00421.jpg)
![DSC_0075](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0075.jpg)
10 years ago
VijimamboShamra Shamra za Kusherehekea Ushindi wa Majimbo ya Wilaya ya Amani Unguja
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Mnuso wa uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa wafana ndani ya hoteli ya White Sands
Cake maalum iliyoandaliwa kwenye sherehe za uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa uliofanyika mwishoni mwa juma kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akiteta jambo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women nchini Tanzania, Anna Collins kabla ya zoezi la kuwasha mishuma 70 kwenye cake hiyo...
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Innocent Nganyagwa kutumbuiza tamasha la ZIFF 2014 usiku huu ndani ya ukumbi wa Mambo Club, Ngome Kongwe
Mwanamuziki Mkongwe wa Rege nchini, Innocent Nganyagwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na show yake kwenye tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo ndani ya ukumbi wa Mambo Club kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar.Kushoto Mtaalamu wa masuala ya habari ZIFF, Bw. Dave Ojay.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Baadhi ya wageni mbalimbali na waandishi wa habari wanaohuduria tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea kutimua vumbi visiwani Zanzibar.
Na. Mwandishi...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Filamu ya “I Shot Bi Kidude” kuonyeshwa tamasha la Ziff 2015 Jumapili hii ndani ya Ngome Kongwe, Zanzibar
‘Makala ya Kusisimua yenye matukio yenye hisia nzito.’
Andy Markowitz, Tovuti ya Muziki wa Filamu Music Film Web
‘Tafakari ya kusisimua ya urafiki usio wa kawaida kati ya Kijana Mtengenezaji wa filamu na diva wa Zanzibar mzee wa miaka 100 Zanzibar diva’ Garth Cartwright – mwandishi, “More Miles Than Money”Umbali mkubwa kuliko fedha”
‘Uwasilishaji wa wa nyota …iliyofifia na kuifanya ing’are upya’.
Martin Mhando, Mkurugenzi ZIFF
Nilimpiga Picha Bi Kidude “I Shot Bi Kidude”, ni makala mpya...
10 years ago
VijimamboShamra shamra za Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Komredi Kinana alakiwa kwa shamra shamra za sungusungu jimbo la Kwimba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Kikundi cha Ulinzi wa Jadi cha Sungusungu, alipowasili katika Kijiji cha Hungumalwa njaia panda ya Mwamashinga alipoanza ziara Jimbo la Kwimba, mkoani Mwanza, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Komredi Kinana akivishwa kofia ya jadi ya Sungusungu wakati wa mapokezi wilayani Kwimba.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cFwJ0lt4rsw/VDwenNkP-5I/AAAAAAAGp7M/GrE_xEv8Kl0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Shamra shamra za Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-cFwJ0lt4rsw/VDwenNkP-5I/AAAAAAAGp7M/GrE_xEv8Kl0/s1600/unnamed%2B(36).jpg)