Shetta kutoka tena na Diamond
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nurdin Bilal ‘Shetta’, amemshirikisha tena mkali wa muziki huo, Nassib Abdul ‘Diamond’, katika ngoma yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Mama Qayllah’. Shetta aliwahi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM30 Jun
11 years ago
GPL28 Jun
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Diamond atajwa tena tuzo 3
Diamond Platnumz
MWAKA ameufungua vizuri staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz baada ya kutajwa kuwania tuzo tatu za Trends Loaded Music, Too Exclusive pamoja na Hipipo Music.
Katika Tuzo za Hipipo Music ambazo hutolewa nchini Uganda na Nigeria, Diamond amefanikiwa kuingia katika vipengele vitatu ambavyo ni East African Super Hit, East african Best Video pamoja na Best African Artist of the Year.
Kwa upande wa Tuzo za Xclusive Music, Diamond ameingia katika kipengele kimoja cha...