Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOO YA BIRTHDAY YA MH.TEMBA, ASILIMIA 80 YA MAPATO KUCHANGIA WODI YA WATOTO HOSPITALI YA TEMEKE

Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya msanii Amani Temba a.k.a Mheshimiwa Temba kutoka kundi ya TMK Wanaume Family.Usiku wa leo ameandaa shoo maalum ndani ya ukumbi wa Ikweta Grill, Temeke kiasi cha mapato kitaenda kuchangia wodi ya watoto katika hospitali ya Temeke, kama ilivyokuwa kwa bendi ya Yamoto Band mwishoni mwa mwezi wa tisa walipoambatana na timu nzima ya TMK Wanaume Temba kuchangia hospitalini hapo.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa jana, Jumamosi, Februari 22, 2014, aliongoza harambee ya kupatikana kwa zaidi ya sh milioni 600 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kisasa vya matibabu kwa ajili ya Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili, Dar Es Salaam.  Katika halfa hiyo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Golden Tulip, Dar Es Salaam, Rais Kikwete pia ameahidi kuendeleza kuongoza jitihada za kupatikana kwa kiasi cha sh milioni 328...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF yasaidia ujenzi wa wodi ya watoto ya hospitali teule ya Dr. Artiman,Sumbawanga

Afisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Ramadhani Mhina (kushoto) akikabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa,Injinia Stella Manyanya hundi ya sh. mil. 1 kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya ujenzi wa wodi ya watoto ya hospitali teule ya Dr. Artiman memorial hospital (Kristo mfalme) iliyopo Sumbawanga,Mkoani Rukwa.Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya (Mb) akizungumza na baadhi ya watendaji wa mkoa wa wakati wa kikao cha kikazi cha kujadili maendeleo ya kisekta mkoani Rukwa.Afisa wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HON:MWIGULU NCHEMBA AMETIMIZA MIAKA 40,ATUMIA SIKU YAKE KUCHANGIA DAMU,KUSALIMIA WATOTO YATIMA NA KUJULIA HALI WODI YA AKINAMAMA MWANANYAMALA

Mh:Mwigulu Nchemba hii leo ametimiza miaka 40 ya Kuzaliwa kwake.Mwigulu Nchemba akiwasili Hospitali ya Mwananyamala kwaajili ya Kutembelea na kusalimia Wodi ya wazazi kama sehemu yake ya Kusherekea siku ya Kuzaliwa(Miaka 40).Mwigulu Nchemba akisalimiana na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Mwananyamala hii leo tar.07.01.2015.Mh:Mwigulu Nchemba akimsalimia mtoto aliyepatwa na tatizo la kuungua moto.Mh:Mwigulu akisikiliza kwa makini mahitaji ya wodi ya akinamama kutoka kwa Mganga mkuu...

 

9 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AWEKA JIWE LA MSINGI WODI YA WATOTO NA UPANUZI WA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA(ORIO)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazoakama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja leo ikiwa ni katika shamra shamra miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Ushauri kwa Uongozi wa Hospitali wa Wizara ya Afya wakati alipokuwa akitembelea hatua ya ujenzi Wodi ya Watoto na upanuzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

CBE YATOA MSAADA WA MASHUKA KWA AJILI YA WODI YA AKINAMAMA NA WATOTO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali Kuu ya Mnazmmoja Dkt. Jamala Adam Taib akizungumza na Mkuu wa Chuo cha Biashara cha Dar es Salaam Prof. Emanuel Amani Mjema wakati wa hafla ya makabidhiano ya mashuka ya wodi ya akinamama na watoto ikiwa ni maadhimimisho ya miaka 50 tokea kuanzishwa chuo hicho.Mkuu wa Chuo cha CBE Prof. Emanuel Amani Mjema akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Maalim Abdalla Mwinyi msaada wa mashuka uliotolewa na chuo hicho kwa ajili ya Hospitali Kuu ya Mnazimmoja katika...

 

9 years ago

Michuzi

PANAFRICAN ENERGY YAFADHILI UJENZI WA WODI YA ‘MAMA NGONJEA’ HOSPITALI YA WILAYA KINYONGA KILWA KIVINJE NA KUKARABATI WODI ZA UZAZI NA CHUMBA MAALUM CHA UANGALIZI WA AKINA MAMA

Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew  Kangashaki  (kushoto ) na Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Twalib Mbasha wakikabidhiana mkataba wa miradi  ya ujenzi wa nyumba ya mama ngojea  katika hospital ya Kinyonga  na ukarabati wa wodi  ya uzazi  mara baada ya kumaliza kusaini mikataba hiyo katika hafla fupi iliyofanyika jana Kilwa Kivinje.Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew  Kangashaki(wa tatu kushoto) pamoja na Mkurugenzi...

 

10 years ago

Vijimambo

HOSPITALI ZA RUFAA ZA WILAYA YA TEMEKE-KINONDONI NA ILALA ZANUFAIKA NA MASHINE ZA KUWASAIDIA WATOTO NJITI TOKA VODACOM FOUNDATION‏

Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Tanzania, Renatus Rwehikiza(kushoto)akimkabidhi moja ya mashine ndogo kati ya tatu za kufyonza uchafu kwa watoto Njiti kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Grace Magembe kwa niaba ya Hospitali tatu za rufaa za Wilaya ya Temeke,Kinondoni na Ilala.Msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake ya Pamoja na Vodacom kwa kushirikiana na Doris Mollel Foundation.Wanaoshuhudia wapili toka kushoto ni Dkt.Vicent Mboya na Doris...

 

10 years ago

GPL

HOSPITALI ZA RUFAA ZA WILAYA YA TEMEKE-KINONDONI NA ILALA ZANUFAIKA NA MASHINE ZA KUWASAIDIA WATOTO NJITI TOKA VODACOM FOUNDATION‏

Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Tanzania, Renatus Rwehikiza(kushoto)akimkabidhi moja ya mashine ndogo kati ya tatu za kufyonza uchafu kwa watoto Njiti kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Grace Magembe kwa niaba ya Hospitali tatu za rufaa za Wilaya ya Temeke,Kinondoni na Ilala.Msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake ya Pamoja na Vodacom kwa kushirikiana na Doris Mollel...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani