SHOO YA BIRTHDAY YA MH.TEMBA, ASILIMIA 80 YA MAPATO KUCHANGIA WODI YA WATOTO HOSPITALI YA TEMEKE
Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya msanii Amani Temba a.k.a Mheshimiwa Temba kutoka kundi ya TMK Wanaume Family.
Usiku wa leo ameandaa shoo maalum ndani ya ukumbi wa Ikweta Grill, Temeke kiasi cha mapato kitaenda kuchangia wodi ya watoto katika hospitali ya Temeke, kama ilivyokuwa kwa bendi ya Yamoto Band mwishoni mwa mwezi wa tisa walipoambatana na timu nzima ya TMK Wanaume Temba kuchangia hospitalini hapo.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N66x89Pqpx0/Uwown3kqKxI/AAAAAAAFPKA/Vw34TxVVi8c/s72-c/p6.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa jana, Jumamosi, Februari 22, 2014, aliongoza harambee ya kupatikana kwa zaidi ya sh milioni 600 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kisasa vya matibabu kwa ajili ya Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili, Dar Es Salaam.
Katika halfa hiyo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Golden Tulip, Dar Es Salaam, Rais Kikwete pia ameahidi kuendeleza kuongoza jitihada za kupatikana kwa kiasi cha sh milioni 328...
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF yasaidia ujenzi wa wodi ya watoto ya hospitali teule ya Dr. Artiman,Sumbawanga
![](https://2.bp.blogspot.com/-1MeQ6K3BAXE/VGTGqOmOsqI/AAAAAAAGxAM/xdhBfZ365rw/s640/DV6A0028.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-sqnD9M7ijxM/VGTGrF_VTMI/AAAAAAAGxAU/N-mD3TF7QBU/s640/DV6A0084.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFGLjZuIs8c/VGTGqCIOQeI/AAAAAAAGxAE/SjkDNerhKic/s640/DV6A0031.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jan
HON:MWIGULU NCHEMBA AMETIMIZA MIAKA 40,ATUMIA SIKU YAKE KUCHANGIA DAMU,KUSALIMIA WATOTO YATIMA NA KUJULIA HALI WODI YA AKINAMAMA MWANANYAMALA
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10897865_329746773894224_4022456051591544317_n.jpg?oh=be0597820698fe745c8ef1586a88fa52&oe=552A298C)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10882217_329746427227592_4179705944178273149_n.jpg?oh=61f6d683b1626534e8facd3129906710&oe=552C5873)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10898113_329746323894269_6194214166908858610_n.jpg?oh=20119484b632aa1ad593d128c2444e46&oe=5529BEB4)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10922597_329746390560929_5325005376744490175_n.jpg?oh=6c72c1f8845446f8f502e20774f8c614&oe=552426FB)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10455108_329746343894267_75948755781323776_n.jpg?oh=87f3a1abb08b410bcf1cf8ee903fd47e&oe=553D7299)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10906410_329746340560934_6172623314834056529_n.jpg?oh=4a56ba23281507226f5b3f7b2f89d720&oe=5536FDDA)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FR7ecC20ldo/Voux1SpP7WI/AAAAAAAIQj4/N64y_0QfwTM/s72-c/DSC_8938.jpg)
DKT. SHEIN AWEKA JIWE LA MSINGI WODI YA WATOTO NA UPANUZI WA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA(ORIO)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FR7ecC20ldo/Voux1SpP7WI/AAAAAAAIQj4/N64y_0QfwTM/s640/DSC_8938.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nW43jI0Mjkw/Voux2J0ulJI/AAAAAAAIQkE/lEHS3u6e9YU/s640/DSC_9054.jpg)
10 years ago
MichuziCBE YATOA MSAADA WA MASHUKA KWA AJILI YA WODI YA AKINAMAMA NA WATOTO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s72-c/_MG_2019.jpg)
PANAFRICAN ENERGY YAFADHILI UJENZI WA WODI YA ‘MAMA NGONJEA’ HOSPITALI YA WILAYA KINYONGA KILWA KIVINJE NA KUKARABATI WODI ZA UZAZI NA CHUMBA MAALUM CHA UANGALIZI WA AKINA MAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s640/_MG_2019.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4h11mrykINk/VmaIQ_IBHKI/AAAAAAADDVg/JVsm2zrdAoI/s640/8.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Jul
HOSPITALI ZA RUFAA ZA WILAYA YA TEMEKE-KINONDONI NA ILALA ZANUFAIKA NA MASHINE ZA KUWASAIDIA WATOTO NJITI TOKA VODACOM FOUNDATIONâ€
![](http://api.ning.com/files/vZBStZ816j1m3O8qbo03w5OVwLqVdsSskUsx3wCua9peWQh1ozT1VhKgwyh1JfsE4nJN5qujVVQhurYRQkzccv722jen7MWy/001.AMANAHOSPITAL.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1m3O8qbo03w5OVwLqVdsSskUsx3wCua9peWQh1ozT1VhKgwyh1JfsE4nJN5qujVVQhurYRQkzccv722jen7MWy/001.AMANAHOSPITAL.jpg?width=650)
HOSPITALI ZA RUFAA ZA WILAYA YA TEMEKE-KINONDONI NA ILALA ZANUFAIKA NA MASHINE ZA KUWASAIDIA WATOTO NJITI TOKA VODACOM FOUNDATION
Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Tanzania, Renatus Rwehikiza(kushoto)akimkabidhi moja ya mashine ndogo kati ya tatu za kufyonza uchafu kwa watoto Njiti kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Grace Magembe kwa niaba ya Hospitali tatu za rufaa za Wilaya ya Temeke,Kinondoni na Ilala.Msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake ya Pamoja na Vodacom kwa kushirikiana na Doris Mollel...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania