SIWEMA WA NAY MBARONI!
Baltazar Mashaka, MWANZA Mzazi mwenzake staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson (27) ametiwa mbaroni na kusota rumande kwa siku kadhaa akidaiwa kujipatia mali kwa njia ya vitisho kutoka kwa kigogo mmoja serikalini (jina linahifadhiwa kwa sasa). Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi, Charles Mkumbo. Mei 2, mwaka huu, Siwema alilala ‘nyuma ya nondo’...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIWEMA WA NAY WA MITEGO KORTINI
10 years ago
GPLSIWEMA AMWANGUKIA NAY WA MITEGO!
10 years ago
GPLNAY: NAJIVUNIA KUZAA NA SIWEMA
11 years ago
GPLNAY KUMUOA SIWEMA KABLA YA KUJIFUNGUA
11 years ago
GPLNAY: SIWEMA AKINIBAMBA NA MADEMU ANAZIMIA
10 years ago
CloudsFM31 Oct
NAY WA MITEGO,SIWEMA WAPATA MTOTO WA KIUME
STAA wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego na mpenzi wake aitwaye Siwema wamepata mtoto wa kiune hivi karibuni.
Kupitia mtandao wa Instagram Nay aliandika hivi...Ooooooh my goooooood!!!! Leo ni cku ya kuzaliwa mama yangu mzazi,,, tukiwa tunakata cake napigiwa simu nimepata mtoto wakiume... yani kazaliwa siku moja na bibi yake,,! Hao apo wamezaliwa leo... Asante Mungu..
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Siwema wa Nay wa Mitego aanza maisha na mpenzi mpya