Skylight Band yaendelea kuunguruma ndani ya kiota kipya cha Lukas Pub Masaki, usikose leo
Ilikuwa noma sana siku ya Ijumaa iliyopita maana ilikuwa sio ya kupitwa basi mchuke na ndugu, jamaa au rafiki yako leo uje kuona vitu vitamu kutoka kwenye Bendi ya Skylight
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba moja ya nyimbo yenye hisia kali sambamba na msanii mwenzake Sam Mapenzi.
Mwimbaji kutoka Bendi ya Skylight, Sony Masamba akitoa burudani ndani ya kiota cha Lukas Pub huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 May
Skylight Band yarejesha ratiba yake ya burudani kila Ijumaa, sasa ni kiota kipya cha “Lukas PUB” Masaki leo
Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani).
Ashura Kitenge mwenye sauti ya kumtoa nyoka panoni akiimba kwa hisia kali huku akisindikizwa na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 Jumamosi iliyopita ndani ya Mzalendo Pub.
10 years ago
GPLSKYLIGHT BAND KUWASHA MOTO LEO KIWANJA KIPYA CHA LUKAS PUB
10 years ago
Dewji Blog29 May
Skylight Band ndio habari ya mujini kwa sasa, Karibuni kiwanja kipya cha Lukas Pub tusebeneke leo
KUNAKO Nigeria Flavour….. Sam Mapenzi akitoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake waliokuwa wakimpa support ya nguvu kwenye...
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Skylight Band yaendelea kupiga jalamba, ni kila Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village, sio ya kukosa leo
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa dansi Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ukumbi wa maraha Thai Village Masaki jijini Dar… Ni Ijumaa hii tena watatoa burudani ya aina yake kutoka kwa waimbaji mahiri na wabunifu… Kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Ashura Kitenge na Sony Masamba.
Binti mrembo mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni Ashura Kitenge akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti...
10 years ago
Dewji Blog01 May
Njoo tusheherekee Mei Mosi pamoja na Skylight Band leo ndani ya kiota chaThai Village, Masaki
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0157.jpg)
SKYLIGHT BAND YAENDELEA KUPIGA JALAMBA, NI KILA IJUMAA NDANI YA KIOTA CHA THAI VILLAGE, SIO YA KUKOSA LEO
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0265.jpg)
NJOO TUSHEHEREKEE MEI MOSI PAMOJA NA SKYLIGHT BAND LEO NDANI YA KIOTA CHATHAI VILLAGE, MASAKI
9 years ago
Dewji Blog11 Oct
Skylight Band kukinukisha leo kiota cha Escape One katika Sunday Bonanza, usikose!
Sam Mapenzi ambaye ni mmoja wa waimbaji wa Skylight akitoa burudani na kusindikizwa na waimbaji wenzake.
Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani ya kukata na shoka ndani ya Kiota cha Escape One Jumapili iliyopita, usikose na leo pia.
Mwimbaji wa bendi ya Skylight Natasha akiimba moja ya nyimbo zinazobamba hapa nchini uku akisindikizwa vizuri na...
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Skylight Band yaendelea kuwabamba mashabiki wake ndani ya kiota cha Thai Village
Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Kisura mwingine wa Skylight Band anayefamika kwa jina la Baby.
Tukutane baadae tupunguze stress za wiki nzima kwa burudani iliyoenda shule na sehemu ya watu wastaarabu kama kawaida na mtonyo wetu ule ule getini.