Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOCCER: Pluijm: Bring on Etoile du Sahel

>Coach Hans Van Pluijm says resurgent Young Africans have what it takes to kill the jinx of failing to shine whenever they are up against North African outfits.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atamba Yanga kuweka historia kwa Etoile du Sahel

NA JUMA KASESA, TUNISIA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Plujim, ameapa kuiandikia historia timu hiyo kwa kuitoa timu ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Yanga iliyolazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa awali uliopigwa jijini Dar es Salaam wiki mbili zilizopita, leo inavaana na timu hiyo katika mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza utakaofanyika katika Uwanja wa Olimpique de Sousse utakaoanza saa 3 usiku kwa saa za Afrika...

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Pluijm wary of Etoile threat

>Young Africans head coach Hans van der Pluijm is wary of the threat Etoile du Sahel poses as the two sides clash in second round, first leg of the CAF Confederation Cup. The Tunisian heavyweights jetted into the country last night ready for the match, which will take place at the 60,000-seat National Stadium tomorrow.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Pluijm shifts attention on Etoile

>Young Africans (Yanga) head coach Hans van der Pluijm has shifted his focus on the Caf Confederation Cup after clinching the Vodacom Premier League title on Monday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga kukwaana na Etoile du Sahel

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu ya kombe la Shirikisho barani Afrika watacheza na Etoile du Sahel ya Tunisia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaifuata Etoile du Sahel Tunisia

Yanga ya Tanzania imeondoka Dar es Salaam kuelekea Tunisia kwa ajili ya mechi yao ya marudiano na Etoile du Sahel ,Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel

Mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho huenda akawa sehemu ya mchezo kati ya klabu yake na Etoile du Sahel ya Tunisia

 

10 years ago

Mwananchi

Mtakaotwaa ubingwa, mmeiona Etoile du Sahel?

Wiki iliyopita, nilikuwa naiangalia Twiga Stars baada ya kufuzu Michezo ya Afrika, itakayofanyika Congo, Brazaville.

 

10 years ago

TheCitizen

Go, Young Africans, go, beat etoile du Sahel

It takes determination to succeed in anything. This is the frame of mind Young Africans should be in when they go head-to-head with Tunisia’s Etoile du Sahel.

 

10 years ago

GPL

YANGA, ETOILE DU SAHEL NGUVU SAWA

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa (kushoto) akijaribu kumtoka mchezaji wa Etoile Du Sahel wakati wa mechi yao ya Kombe la Shirikisho iliyopigwa Uwanja wa Taifa, Dar jana. Matokeo yalikuwa sare ya 1-1. Patashika wakati wa mchezo huo wa Kombe la Shirikisho uliomalizika kwa sare ya 1-1. Yanga…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani