Somalia yawakataa wanajeshi wa Sierra Leone
Wanajeshi wa kulinda amani kutoka Sierra Leone wameondoka nchini Somali na hakuna wanajeshi wengine wa taifa hilo watakaochukua mahala pao kufuatia wasiwasi wa ugonjwa wa Ebola.
Umoja wa Afrika una mpango wa kutafuta wanajeshi wengine kutoka mataifa yenye wanajeshi wake nchini humo.
Zaidi ya wanajeshi 800 wa Sierra Leone walio kusini mwa bandari ya Kismayu wameondoka kuelekea nyumbani.
Walitarajiwa kuondoka mapema lakini safari yao ikacheleweshwa kwa zaidi ya miezi sita baada ya mmoja...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Somalia yawakataa wanajeshi wa S.Leone
11 years ago
BBCSwahili09 Oct
Wanajeshi Uingereza kwenda Sierra Leone
10 years ago
BBC
'Sierra Leone has become part of me'
11 years ago
BBC
Sierra Leone 'humiliated' by Ebola
10 years ago
Awoko21 Oct
Sierra Leone News: Tanzania
IPPmedia
Awoko
Tanzanians are in for a stress time when it comes to casting their votes on October 25 for a new government to replace outgoing administration of President Jakaya Kikwete. Kikwete is barred from contesting as his two term presidential term would be out ...
Numerous feats in sports, entertainment sectors accomplishedDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Tanzania aims for 2700 megawattsEast African Business Week
Tourists cautioned:...
11 years ago
BBC
Sierra Leone ask to play in Cameroon
11 years ago
Habarileo23 Sep
Sierra Leone yadhibiti ebola
AMRI ya kutotoka nje iliyowekwa nchini Sierra Leone ya siku tatu kwa ajili ya kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa ebola, imeonekana kufanikiwa.
11 years ago
BBC
10 years ago
BBC
Sierra Leone orphanage quarantined