Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tabora wampa Kinana salamu za JK

Wana-CCM wa Mkoa wa Tabora wamemkumbusha Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake ya ujenzi wa bomba la maji kutoka Ziwa Victoria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mheshimiwa Fatma Mwasa kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 19 Agosti, 2014 katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora.
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...

 

11 years ago

Daily News

Kinana starts Tabora tour


Daily News
Kinana starts Tabora tour
Daily News
CCM Secretary General, Mr Abdulrahman Kinana, is on Thursday expected to start a 26-day tour of Tabora, Singida and Manyara, the Party's Ideology and Publicity Secretary, Mr Nape Nnauye, has said. Addressing a news conference in Dar es Salaam, ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana ziarani Sikonge Tabora

-Asema Vijana wa Pathfinders Green City ni mfano wa kuigwa.

-Awataka wilaya zingine nchi kuiga mfano huo kwani utasaidia sana katika kuharakisha maendeleo kwa vijana,kuwajenga katika misingi bora ya mshikamano

unnamed

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa taji la maua wakati wa mapokezi alipowasili kwenye Kata ya Pangale wilaya ya Sikonge mkoani Tabora ambapo anategemewa kufanya ziara ya siku 2 katika wilaya ya Sikonge.

unnamed (1)

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akikaribishwa...

 

11 years ago

Daily News

Kinana on official visit to Tabora


Daily News
Kinana on official visit to Tabora
Daily News
TABORA Regional Commissioner (RC), Ms Fatma Mwasa has commended the government for implementation of development projects in the region. Speaking, Ms Mwasa said that most of the projects lined up in Chama Cha Mapinduzi's (CCM) manifesto ...

 

11 years ago

Michuzi

kinana aiteka tabora leo

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Stendi ya zamani mjini Tabora, ukiwa ni wakuhitimisha ziara yake ya siku 11 mkoani Tabora. 
 Kinana akihudumiwa na Mama Lishe alipokwenda kula yeye na msafara wake kwa akina mama lishe eneo la Stendi Mpya Tabora mjini kabla ya kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara. Kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Munde Tambwe.  Katibu wa Itikadi na Uenezi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo matano yaliyoibuka ziara ya Kinana Tabora

Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekuwa akifanya ziara katika mikoa mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Michuzi

KINANA na aujumbe wake WILAYANI UYUI, tabora

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahtubia wakazi wa Loya wilayani Uyui,Katibu Mkuu aliipongeza sana halmashauri ya wilaya kwa kujenga shule za sekondari 18 za kata.  Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Uyui Mussa Ntimizi akihutubia wakazi wa Loya wakati wa mkutano wa CCM uliofanyika hapo ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye ameanza ziara katika wilaya ya Uyui ikiwa wilaya ya tatu baada ya kumaliza Nzega na Igunga.  Katibu wa NEC...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani