TANGAZO KUTOKA TANZANIA ASSOCIATION GREATER MANCHESTER (TAGMA).
Tungependa kuwatangazia wanajumuiya wetu, Watanzania wanaoishi Manchester na Watanzania wanoiishi miji ya karibu kama Liverpool, Leeds, York na Newcastle kwamba utakuja Kamati kutoka Ubalozi wa Tanzania kwa hapa Uingereza kwa ajili ya zoezi la ku renew pasipoti.
Hili zoezi litafanyika Jumamosi hii inayokuja, tarehe 11 / 07 / 2015 kuanzia saa sita mchana mpaka saa tatu za usiku ( 12:00pm - 9:00pm / 12:00hrs - 21:00hrs).
Hili zoezi litafanyika anuani ifwatayo:Trinity House Community,Resource...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Apr
The Tanzania Association of Greater Manchester (TAGMA) presents...TANZANIAN NIGHT(USIKU WA MTANZANIA)
DATE: Saturday, 25th April 2015.
TIME: Doors open from 4:00 pm. 5:00pm prompt start till late.VENUE: Greater Manchester Fire and Rescue Service Training Center,Cassidy Close,Manchester,M4 5HU.EVENT: Tanzanian Union Day (51 years)DRESS CODE : African AttireTICKETS: £10 each for adults and free for children.
Your entrance ticket will enable you to receive a plate of Tanzanian food for adults, children will eat for free.
A cash bar will be available. There will be children's games and Raffle...
10 years ago
TheCitizen19 Mar
Prize takes boss of horticulture association to greater heights
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1bkPDB_KvE/VHQyeRafhzI/AAAAAAAAdCE/ZCaV7BZj8dU/s72-c/IMG-20141124-WA0001.jpg)
TANGAZO LA MSIBA KUTOKA FAMILIA YA NDG SEBASTIAN MGIMBA WA DAR ES SALAAM - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1bkPDB_KvE/VHQyeRafhzI/AAAAAAAAdCE/ZCaV7BZj8dU/s1600/IMG-20141124-WA0001.jpg)
2Timotheo 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza Imani nimeilinda.
Familia ya Ndugu Sebastian Mgimba inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Mathew Sebastian Mgimba kilichotokea Nchini Malaysia tarehe 20/11/2014.
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili leo tarehe 25/11/2014 na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Sinza Kumekucha.Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi - Amina
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
11 years ago
Scoop.Co.Nz (Press Release)16 May
UN Calls for Greater Protection for Albinos in Tanzania
BBC News
Scoop.co.nz (press release)
15 May 2014 – The barbaric murder of a woman with albinism in Tanzania has prompted the United Nations human rights chief to call for greater protection for this “exceptionally vulnerable” community. According to police reports, 40-year-old Munghu Lugata ...
UN human rights chief urges greater protection for people with albinismShanghai Daily (subscription)
Tanzanian police arrest 'witch doctors'...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Fighting HIV and AIDS in Tanzania — Fundraising for a Greater Cause
Attendees from various public and private sector in support of GGM Kili Challenge Auction in Geita for the fundraising against HIV and AIDS in Tanzania.
Fourteen years have passed-by with more than 500 individuals across the globe participating, more than TZS 800 Million or US$500,000 have been raised annually to support the cause. In order to support the cause further GGM Kili Challenge also had a fundraising auction in Geita whereby TZS 150M or $65000 was raised in this joint effort that...
10 years ago
GPLFIGHTING HIV AND AIDS IN TANZANIA - FUNDRAISING FOR A GREATER CAUSE
10 years ago
Government Schools ...16 Jul
Tanzania Association of Managers and Owners of Non
IPPmedia
IPPmedia
Performance in science subjects has slightly improved in this year's Form Six examinations but stakeholders say it does not match the value of resources injected into the sector. The National Examination Council of Tanzania (NECTA) released the Form ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TDF0Wb5W3Dg/Uut6vhV9Q4I/AAAAAAAAicQ/u3oFhd6JU80/s72-c/JOBicon.jpg)
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KUTOKA KAMPUNI YA NOFO
![](http://4.bp.blogspot.com/-TDF0Wb5W3Dg/Uut6vhV9Q4I/AAAAAAAAicQ/u3oFhd6JU80/s1600/JOBicon.jpg)
(1) Shahada ya kwanza au stashahada ya juu ya biashara katika masoko(2) Uelewa mzuri na ueledi wa kuimarisha na kupanua wigo wa masoko(3) Ari na moyo wa kufikia malengo uliyowekewa(4) Uwezo wa kujieleza vizuri...