Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO KUTOKA TANZANIA ASSOCIATION GREATER MANCHESTER (TAGMA).

Tungependa kuwatangazia wanajumuiya wetu, Watanzania wanaoishi Manchester na Watanzania wanoiishi miji ya karibu kama Liverpool, Leeds, York na Newcastle kwamba utakuja Kamati kutoka Ubalozi wa Tanzania kwa hapa Uingereza kwa ajili ya zoezi la ku renew pasipoti.
Hili zoezi litafanyika Jumamosi hii inayokuja, tarehe 11 / 07 / 2015 kuanzia saa sita mchana mpaka saa tatu za usiku ( 12:00pm - 9:00pm / 12:00hrs - 21:00hrs). 
Hili zoezi litafanyika anuani ifwatayo:Trinity House Community,Resource...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

The Tanzania Association of Greater Manchester (TAGMA) presents...TANZANIAN NIGHT(USIKU WA MTANZANIA)


DATE: Saturday, 25th April 2015.
TIME: Doors open from 4:00 pm. 5:00pm prompt start till late.VENUE: Greater Manchester Fire and Rescue Service Training Center,Cassidy Close,Manchester,M4 5HU.EVENT: Tanzanian Union Day (51 years)DRESS CODE : African AttireTICKETS: £10 each for adults and free for children.
Your entrance ticket will enable you to receive a plate of Tanzanian food for adults, children will eat for free.

A cash bar will be available. There will be children's games and Raffle...

 

10 years ago

TheCitizen

Prize takes boss of horticulture association to greater heights

“I am overwhelmed with joy! Honestly, I never knew my name would fly beyond the crown of a plant,” said Ms Jacqueline Mkindi as tears trickled down her cheeks.

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA MSIBA KUTOKA FAMILIA YA NDG SEBASTIAN MGIMBA WA DAR ES SALAAM - TANZANIA

Marehemu Mathew Sebastian Mgimba Enzi za Uhai Wake.
2Timotheo 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza Imani nimeilinda.
Familia ya Ndugu Sebastian Mgimba inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Mathew Sebastian Mgimba kilichotokea Nchini Malaysia tarehe 20/11/2014.
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili leo tarehe 25/11/2014 na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Sinza Kumekucha.Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi - Amina

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

11 years ago

Scoop.Co.Nz (Press Release)

UN Calls for Greater Protection for Albinos in Tanzania


BBC News
UN Calls for Greater Protection for Albinos in Tanzania
Scoop.co.nz (press release)
15 May 2014 – The barbaric murder of a woman with albinism in Tanzania has prompted the United Nations human rights chief to call for greater protection for this “exceptionally vulnerable” community. According to police reports, 40-year-old Munghu Lugata ...
UN human rights chief urges greater protection for people with albinismShanghai Daily (subscription)
Tanzanian police arrest 'witch doctors'...

 

10 years ago

Dewji Blog

Fighting HIV and AIDS in Tanzania — Fundraising for a Greater Cause

1-557A0975

Attendees from various public and private sector in support of GGM Kili Challenge Auction in Geita for the fundraising against HIV and AIDS in Tanzania.

Fourteen years have passed-by with more than 500 individuals across the globe participating, more than TZS 800 Million or US$500,000 have been raised annually to support the cause. In order to support the cause further GGM Kili Challenge also had a fundraising auction in Geita whereby TZS 150M or $65000 was raised in this joint effort that...

 

10 years ago

GPL

FIGHTING HIV AND AIDS IN TANZANIA - FUNDRAISING FOR A GREATER CAUSE

Mr. Tenga Tenga PR and Communication Manager, GGM (left) joined by Ms. Fatma Fernandes Managing Director, Abel & Fernandes Communications (right) at the Kili Challenge Aution in Geita during the fundraising for GGM Kili Challenge against HIV and AIDS in Tanzania. GGM employees showing support at GGM Kili Challenge Auction in Geita for the fundraising against HIV and AIDS in Tanzania.… ...

 

10 years ago

Government Schools ...

Tanzania Association of Managers and Owners of Non


IPPmedia
Tanzania Association of Managers and Owners of Non-Government Schools ...
IPPmedia
Performance in science subjects has slightly improved in this year's Form Six examinations but stakeholders say it does not match the value of resources injected into the sector. The National Examination Council of Tanzania (NECTA) released the Form ...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KUTOKA KAMPUNI YA NOFO

Kampuniya NOFO ya jijini Dar es Salaam, inayojihusisha na uchapishaji na uuzaji wa vitabu vya hadithi za watoto, inatangaza nafasi kumi za kazi ya afisa masoko. Wenye sifa zifuatazo watume maombi kupitia baruapepe ndejarini@gmail.com kwenda kwa GENERAL MANAGER, NOFO, DSM
(1)    Shahada ya kwanza au stashahada ya juu ya biashara katika masoko

(2)    Uelewa mzuri na ueledi wa kuimarisha na kupanua wigo wa masoko

(3)    Ari na moyo wa kufikia malengo uliyowekewa

(4)    Uwezo wa kujieleza vizuri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani