TANZANIA YACHAGULIWA MJUMBE WA BARAZA LA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-XJPAZwMMjRY/VXGHN1rZs5I/AAAAAAAAeZU/NbgUXb_6J18/s72-c/20150604_164916.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt. Agnes Kijazi (mwenye suti nyeusi) akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano Mkuu wa 17 wa Shririka la Hali ya Hewa Duniani unaofanyika Mjini Geneva, Uswisi. Wengine katika picha ni Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Celestine Mushy (Kulia)
TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE KATIKA BARAZA LA UTENDAJI (EXECUTIVE COUNCIL) LA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI–WORLD METEOROLOGICAL ORGANIZATION...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SIOSlZsv3Dc/VXxB-5GGVoI/AAAAAAAHfPQ/r1KQ2XaSRCQ/s72-c/20150603_180056.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA BARAZA KUU LA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SIOSlZsv3Dc/VXxB-5GGVoI/AAAAAAAHfPQ/r1KQ2XaSRCQ/s640/20150603_180056.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WW0ectXarCQ/VXvVnJ96OnI/AAAAAAAAA8U/85d8rq0zNkw/s72-c/20150603_180056.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA MKUTANO WA BARAZA KUU LA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WW0ectXarCQ/VXvVnJ96OnI/AAAAAAAAA8U/85d8rq0zNkw/s640/20150603_180056.jpg)
10 years ago
VijimamboHALI YA HEWA YAENDELEA KUWANOA WATAALAMU WAKE KATIKA KUKIDHI VIGEZO VYA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)
IMG0086: Mgeni rasmi, Mkurugenzi Mkuu wa TMA Dkt. Agnes Kijazi katika picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo ya huduma za hali ya hewa kwa ajili ya usafiri wa anga kutoka Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma,Kulia kwake mwenye tai nyekundu ni Mkuu wa Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma Bw. Joseph...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s72-c/congress%2B2015.png)
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA 17 WA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO) NCHINI USWISI .
![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s640/congress%2B2015.png)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi pamoja na ujumbe wa Tanzania akiwemo Bwana Mohamed Ngwali, Mkurugenzi wa TMA – Ofisi ya Zanzibar, wanashiriki mkutano mkuu wa 17 wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) unaofanyika Uswisi, makao makuu ya Shirika hilo kuanzia tarehe 25 Mei hadi 12 Juni...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s72-c/congress%2B2015.png)
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA 17 WA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO) NCHINI USWISI TAREHE: 25 MEI HADI 12 JUNE 2015.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s640/congress%2B2015.png)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi pamoja na ujumbe wa Tanzania akiwemo Bwana Mohamed Ngwali, Mkurugenzi wa TMA – Ofisi ya Zanzibar, wanashiriki mkutano mkuu wa 17 wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) unaofanyika Uswisi, makao makuu ya Shirika hilo kuanzia tarehe 25 Mei hadi 12 Juni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s72-c/uk-met.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s1600/uk-met.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6H8gBDNMEY/VIVjIbUrWrI/AAAAAAAG16A/Rbr5217A81c/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
11 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU TMA ASHIRIKI MKUTANO WA 66 WA KAMATI KUU YA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO-EC)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MR8k-zJVjE8/U62mQDtPdsI/AAAAAAAFtQk/3CMG6HhWuW0/s1600/Rais+wa+Shirikia+la+Hali+ya+Hewa+Duniani++Prof.+David+Grimes++(+wanne+kushoto+kutoka+mstari+wa+mbele)+na+Katibu+Mkuu+wa+Shirika+la+Hali+ya+Hewa+Duniani+Michel+Jarraud+(watatu+kutoka+kushoto+mstari+wa+mbele)+kat.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa...