Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


taswira toka bunge maalum la katiba mjini dodoma leo

 Mwenyekiti wa kamati ya maadili Mhe. Profesa Costa Mahalu akiteta jambo na katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Dkt. Thomas Kashilila kulia na Mhe.John Magufuli.  Spika wa Bunge la Jahmuri ya Muungano Mhe. Anna Makinda akijadiliana jambo na Mhe. Dkt Mohamed Seif Khatib  Wajumbe Mhe Machali  na Mhe.Mchungaji Kadiva wakijadiliana  Waziri mkuu mstaafu Mhe Edward Lowassa kulia aliyekaa akijadiliana jambo na Mhe.Philemon Ndesamburo Mhe.Andrew Chenge akijadiliana  jambo na Mhe. Sadifa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali toka Bunge maalum la katiba mjini dodoma leo

Mwenyekiti wa kanuni za bunge maalum Mhe. Pandu Ameir kificho akiwasilisha mapendekezo ya kubadili kanuni leo asubuhi Makamu M/kiti Mhe.Samia Suluhu akiendesha kikao cha  bunge maalum leo baada ya siku nne za vikao vya kamati kumi na mbili zilizo undwa kufanya vikao vyao bila kumaliza kujadili kifungu cha kwanza na kifungu cha sita cha rasimu ya katiba mpya.
Bunge limeahirishwa hadi alhamishi wiki hii kutoa fursa kwa kamati kuendelea na vikao.  Wabunge wakijadili mabadiliko ya kanuni...

 

11 years ago

Michuzi

taswira zaidi toka bunge la katiba mjini dodoma leo

 Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wakitoka Bungeni Mjini Dodoma leo baada ya Bunge hilo kusitishwa  kwa muda kufuatia Sintofahamu iliyotokea.  Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba Mhe Halima  Mdee   akitafakari baada ya wenzake kuondoka bungeni wakati Bunge hilo lilipositishwa  kwa muda mjini Dodoma leo  kufuatia sintofahamu iliyokea.   Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba Mhe Halima  Mdee   akitafakari baada ya wenzake kuondoka bungeni wakati Bunge hilo lilipositishwa  kwa muda mjini Dodoma...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Askofu Mkuu Mstaafu, Dr. Donald Mtetemela  (kushoto) na Spika wa Bunge, Anne Makinda wakiteta Bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2014.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba  na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli akiapa mbele ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu (kushoto), Bungeni Mjini Dodoma Aprili 4, 2014.…
...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALI MBALI KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Waziri Mkuu, Mizengo Pinda , Anna Abdallah...

 

11 years ago

Michuzi

Taswira la Bunge Maalum la Katiba liivyoanza mjini Dodoma

 Mwenyekiti wa Muda wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Pandu Ameir Kificho akiwashukuru wajumbe wa Bunge hilo baada ya kuchaguliwa.  Muonekano wa Ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba wakati wajumbe wakisubiri kupiga kura ya kumchagua Mwenyekiti wa muda  Mchakato wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba   Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akifafanua jambo  kabla ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba.   Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba...

 

11 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake Said Mtanda (kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.  Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe Said Mtanda na wenzake  jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.   Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba  Joshua Nasari(kushoto) akibadilishana mawazo...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA KUTOKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta  na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba,  Bungeni mjini Dodoma Machi 3,2014. Kushoto ni Kingunge Ngombale-Mwiru, Kulia ni Freeman Mbowe na Wapili kulia ni James Mbatia Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, wakitoka kwenye ukumbi wa Bunge  mjini Dodoma leo Machi 3, 2014 baada ya kusitishwa shughuli za Bunge Maalum  la Katiba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA KUTOKA KATIKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

 Mwenyekiti wa Kamati ya  Kumshauri  Mwenyekiti kuhusu Kanuni za Bunge Maalum la Katiba, Mhe Profesa Costa Mahalu (kulia) akiteta na wajumbe wa kamati hiyo Bungeni Mjini Dodoma baada ya Semina  ya Wabunge wa Bunge Maalum la  Katiba kuahirishwa hadi kesho saa nne.  Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akiteta na Mjumbe  wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe James Mbatia kwenye ukumbi wa bunge Mjini Dodoma baada ya Semina  ya Wabunge wa Bunge Maalum la  Katiba kuahirishwa hadi kesho saa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani