TASWIRA ZA AWALI ZA TAMASHA KUBWA LA BURUDANI 'JEMBEKA FESTIVAL 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-5zl2rNFlTCg/VWNm3PRGHAI/AAAAAAABOLQ/zQeuLB8lbuA/s72-c/0.1JEMBEKA1.jpg)
Mmoja wa wasanii washindani wa Mkali Jembeka akionesha ufundi wake katika hip hop kwenye fainali ndani ya Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015 uwanja wa CCM Kirmba jijini Mwanza na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.
Shengwe za wananchi kwa tamasha lililopigwa tangu saa 7 mpaka asubuhi siku iliyofuata na hapa ni mapema kabisa ngoma saa tisa huku burudani zikiwa tayari zimeshika kasi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania