Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA LAKE GAS INDIAN FOOD FESTIVAL ILIVYOFANA JUMAPILI JIJINI DAR ES SALAAM

 Dj akiwa makini kuhakikisha watu wanaburudika na miziki  mizuri ya Kihindi wakati wa Tamasha la  LAKE GAS INDIAN FOOD   lililofanyika Jumapili Oysterbay jijini Dar es salaam  Mandhari ya eneo la tukio  Palipendeza  Mama na mwanae akionekana ni mwenye furaha  Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe Yusuf Mwenda  akipokea zawadi ya unga kutoka kwa mwakilishi wa banda la Azam  Mstahiki Meya wa Kinondoni Mh.Yusufu Mwenda(kushoto) akifatiwa na balozi wa India Mhe.  Debnath Shaw na familia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Lake Gas Indian Food Festival

Food is an integral part of the Indian culture and Indian subcontinent. Thanks to the multitude of its flavors and aroma, its popularity is quickly increasing, and with it the number of new Indian restaurants. And so a new project is born – the Indian Food Festival.
The Lake Gas Indian Food Festival gives you the unique opportunity to try delicious Indian dishes from various Indian Restaurant and Caterers, enjoy a special menu, compare dishes and discover new flavors!
Thus for the...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Jinsi Nyama Choma Festival ilivyofana December 6, Dar

Wakazi wa Dar es Salaam, Jumamosi ya December 6 walijumuika kwenye awamu nyingine ya tamasha la Nyama Choma lililofanyika kwenye viwanja vya chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM. Warembo wakifurahia tamasha la Nyama Choma, Dar Watu wa rika mbalimbali walijumuika pamoja na washkaji au familia zao kufurahia nyama choma zilizotayarishwa na wachoma nyama mahiri […]

 

11 years ago

TheCitizen

Dar holds Indian cuisine festival

Tanzania is becoming home to thousands of people from diverse nationalities. These often bring with them various cultural values, including type of dishes they eat back home.

 

10 years ago

Michuzi

Taswira ya Ubungo jijini Dar es Salaam leo.

 Taswira ya kituo cha Simu 2000 Ubungo jijini Dar es Salaam leo baada ya mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria.Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii. Barabara ya Sam Nujoma eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam leo. Licha ya mgomo wa madareva Miundombinu ya maji machafu hakuna katika kituo cha Mabasi Yaendayo mikoani cha Ubungo jijini Dar es Salaam.Hakuna kukanyaga maji ni kuruka mawe tuu. Mabasi yakiwa yameegeshwa katika Stendi kuu ya Mabasi yaendayo mikoani-Ubungo jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Uhaba wa usafiri wahatarisha usalama wa Abiria, kama walivyonaswa na kamera ya mtaa kwa mtaa leo   jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii).

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA YA BARABARA YA KIVUKONI FRONT JIJINI DAR ES SALAAM LEo

 Taswira za barabara ya Kivukoni Drive jijini Dar es salaam inayoendelea kukarabatiwa na kujengwa njia ya mabasi yaendayo haraka. Hapa ni nje ya Mahakama Kuu

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA MAULID JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Waumini wa Dini ya Kiislam wakiandamana jijini Dar es Salaam leo jioni, wakati wa kuadhimisha Sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.W.A).




PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG


 

9 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Kampeni za CCM Jumapili viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mhe Benjamin William Mkapa wakimnadi mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa hadhara uliovutia umati uliovunja rekodi kwa wingi katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es alaam Jumapili Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Rais Kikwete na Rais Shein pamoja na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa Waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani