Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Temeke walia na mradi wa DMDP

WAKAZI wa Temeke jijini Dar es Salaam wameiomba Benki ya Dunia kusimamia mradi wa upanuzi wa barabara (DMDP) kutokana na kukosa imani na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo na watendaji wake....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kilolo walia na mradi wa maji wa Ismani

Wakazi wa vijiji vya Ilole, Itumbuka na Mawala wilayani Kilolo mkoani Iringa, wameiomba Serikali ikarabati miundo mbinu ya mradi wa maji wa Isimani baada ya vituo vyake vingi kutokutoa maji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maji SBL kunufaisha Temeke

SEKTA ya afya nchini imezidi kupata msukumo baada ya kuzinduliwa kwa mradi wa maji katika zahanati ya Mkamba, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam. Mradi huo uliozinduliwa jana ulifanikiwa baada...

 

10 years ago

Michuzi

Makundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke

Usili wa kwanza wa Dance 100% (2015) umefanyika kwa mafanikio makubwa Temeke jijini Dar es Salaam, ambapo makundi ya Team ya Shamba, The WT Group, WD, The Best Boys Kaka Zao na Team Makorokocho wameweza kushinda nafasi ya kuingia katika michuano kutoka wilaya ya Temeke.
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.


Mratibu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndugu Sophia Mjema akilakiwa na Dkt. Martha Kisanga, Meneja wa Kanda ya Pwani wa Shirika la Engender Health mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Shule ya Sekondari Kibasila kwa ajili ya kufunga rasmi mafunzo ya siku 5 yaliyohusu mradi wa kuzuia mimba za utotoni katika Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke tarehe 17.4.2015. Waliosimama katikati ni Ndugu Donald Siliva, Afisa-Elimu Sekondari, Wilaya ya Temeke na Dkt. Sarah Maongezi, Mkurugenzi wa Afya kutoka...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UIMARISHAJI MRADI WA MAJI SAFI MAKUNDUCHI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya maji safi (ZAWA) Dkt. Mustafa Ali Garu (kulia) wakati alipotembelea Uimarishaji wa mradi wa maji safi na salama wa uchimbaji wa Kisima kipya na ukarabati wa tangi la maji Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Unguja leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM walia

MSIMAMO wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliotolewa jana na Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba, kuwa muundo wa Muungano wa Serikali Tatu hauepukiki, umekivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuacha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani