TFF: Yatuma salamu za rambirambi Coastal Union baada ya kuondokewa na mchezaji wao U20
Rais wa Shirikisho la Soka nchini, Jamal Malinzi..
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salam za rambirambi kwa mwenyekiti wa klabu ya Coastal Union, Dr Twaha Ahmed kufuatia kifo cha mchezaji Mshauri Salim aliyefariki jana jioni jijini Tanga.
Katika salam hizo za Rais wa TFF, Jamal Malinzi kwenda kwa uongozi wa klabu ya Coastal Union, amewapa pole wafiwa ndugu jamaa na marafiki pamoja na uongozi wa klabu hiyo na kusema TFF wako nao pamoja katika kipindi hichi cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PWN8YT974CA/VSBaoZS8g1I/AAAAAAAHPWM/aTHnZyRKOXE/s72-c/11133973_799243006819595_5116734814997625332_n.jpg)
TFF YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI SIMBA SC KUFUATIA AJALI WALIYOPATA WASHABIKI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-PWN8YT974CA/VSBaoZS8g1I/AAAAAAAHPWM/aTHnZyRKOXE/s1600/11133973_799243006819595_5116734814997625332_n.jpg)
Katika salamu zake Rais Malinzi amesema, TFF imezipokea kwa masikitiko taarifa hizo za ajali na kwa niaba ya familia ya mpira wa miguu nchini, wanawapa pole wafiwa wote na mwenyezi Mungu awape nguvu majeruhi waweze kupata nafuu na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zqjCb-uW1sE/Vbod-fNRcII/AAAAAAABD6w/82YGmfV2NBE/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zqjCb-uW1sE/Vbod-fNRcII/AAAAAAABD6w/82YGmfV2NBE/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salam za rambi rambi kwa familia ya Moshi Shaban, kufutia kifo cha Moshi kilichotokea jana jijini Dar s salaam na mazishi kufanyika leo jijini Dar es salaam.
Katika salamu zake za rambirambi kwa familia ya marehemu Moshi, TFF imewapa pole wafiwa, ndugu jamaa na marafiki na kusema wako pamoja katika kipindi hiki cha maombelezo na kuomba mwenyezi Mungu awajilie nguzu wafiwa
Marehemu Moshi Shaban ni baba wa wachezaji waliowahi kuichezea timu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jyDn8YFIj_U/U29tYaI9_tI/AAAAAAAFg9U/2auwia29ys0/s72-c/malawiambas.jpg)
TFF YATUMA RAMBIRAMBI KUFUATIA MSIBA WA BALOZI WA MALAWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jyDn8YFIj_U/U29tYaI9_tI/AAAAAAAFg9U/2auwia29ys0/s1600/malawiambas.jpg)
Balozi Gomile-Chidyaonga ambaye kabla ya kuteuliwa kuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania mwaka 2011, alikuwa Naibu Balozi wa nchi hiyo Uingereza alifikwa na mauti baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Msiba huo ni mkubwa katika fani ya mpira wa miguu nchini kwani, Balozi Gomile-Chidyaonga ndiye aliyefanikisha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-idD5LOTE128/VTCuQ0-mESI/AAAAAAAHRng/TOd5rUoIyFQ/s72-c/ChigweleCheMundugwao.jpg)
BASATA YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MSANII CHIJWELE CHE MUNDUGWAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-idD5LOTE128/VTCuQ0-mESI/AAAAAAAHRng/TOd5rUoIyFQ/s1600/ChigweleCheMundugwao.jpg)
Che mundugwao ni msanii wa muziki wa asili na mdau wa muda mrefu wa sekta ya Sanaa nchini. Amekuwa na mchango mkubwa katika kukuza muziki wa asili nchini na baadaye kupitia Chama cha Muziki wa asili (TAFOMA)...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9A8OISF5T-8/U5G3X4tvOLI/AAAAAAAFoCk/82wbteLm7-M/s72-c/TFF+Logo.jpg)
TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA MSIBA WA GEBO PETER
![](http://3.bp.blogspot.com/-9A8OISF5T-8/U5G3X4tvOLI/AAAAAAAFoCk/82wbteLm7-M/s1600/TFF+Logo.jpg)
Gebo aliyezaliwa mwaka 1961, pia aliwahi kuchezea timu za Sigara ya Dar es Salaam, CDA ya Dodoma na kombaini ya Mkoa wa Dar es Salaam (Mzizima United). Hadi mauti yanamkuta alikuwa akijishughulisha na biashara, kubwa ikiwa ya vifaa vya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Znr4cfJ9erk/VcOo9w3y8VI/AAAAAAAHutw/6BfOEMN91x4/s72-c/download.jpeg)
TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA BABA WA JERRY MURO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Znr4cfJ9erk/VcOo9w3y8VI/AAAAAAAHutw/6BfOEMN91x4/s640/download.jpeg)
Katika salamu zake za rambirambi kwa familia ya marehemu Muro, TFF imewapa pole wafiwa, ndugu jamaa na marafiki na kusema wako pamoja katika kipindi hiki cha maombelezo na kuomba mwenyezi Mungu awajilie nguzu wafiwa
Marehemu Cornel Muro ni baba mzazi wa Afisa Habari wa...
10 years ago
Michuzi09 Jul
TFF YAUPONGEZA UONGOZI WA COASTAL UNION
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wallace Karia ametuma salama za pongezi kwa uongozi mpya wa klabu ya Coastal Union uliochaguliwa mwishoni mwa wiki.
Katika salamu zake kwa Mwenyekiti mpya wa klabu hiyo Dr. Twaha, Karia amesema anawapa pongezi wa kuchaguliwa na kupewa heshima hiyo na wanachama wa Coastal Union katika kuitumikia klabu yao.
“Kikubwa wanachopaswa kufanya kwa sasa ni kuodokana na makundi ya aina yoyote, na kuifanya Coastal Union kuwa kitu kimoja na...
Katika salamu zake kwa Mwenyekiti mpya wa klabu hiyo Dr. Twaha, Karia amesema anawapa pongezi wa kuchaguliwa na kupewa heshima hiyo na wanachama wa Coastal Union katika kuitumikia klabu yao.
“Kikubwa wanachopaswa kufanya kwa sasa ni kuodokana na makundi ya aina yoyote, na kuifanya Coastal Union kuwa kitu kimoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r-zSX7dj4Ak/U5NmSJIux0I/AAAAAAAFocs/bga__4US1LU/s72-c/TFF+Logo.jpg)
TFF YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA KANALI MWANAKATWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-r-zSX7dj4Ak/U5NmSJIux0I/AAAAAAAFocs/bga__4US1LU/s1600/TFF+Logo.jpg)
Kwa mujibu wa binti wa marehemu, Sophia, baba yake alianguka bafuni nyumbani kwake Mbezi Beach ambapo alikimbizwa katika Hospitali ya Lugalo ambapo ndipo umauti ulipomfika wakati madaktari wakimpatia...
10 years ago
GPLTFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI WA COASTAL UNION
Kikosi cha timu ya Coastal Union. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) halitambui mabadiliko ya uongozi ndani ya Coastal Union yanayodaiwa kufanywa na mkutano wa wanachama wa klabu hiyo uliofanyika hivi karibuni. Uongozi wa Coastal Union uliochaguliwa na mkutano wa uchaguzi wa klabu hiyo ndiyo ambao tunautambua, na tutaendelea kufanya nao kazi, na sio uongozi mwingine wowote ule. Tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania