Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


T.I GUMZO TAMASHA LA SERENGETI FIESTAJIJINI DAR

Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Harris,'T.I' akitoa burudani  muda huu kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kishindo Tamasha la Krismasi gumzo Dar

ZIKISALIA siku chache kabla ya kufanyika Tamasha la muziki wa Injili la Krismasi litakalozinduliwa Desemba 25 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Arusha, Morogoro, Tanga...

 

10 years ago

Dewji Blog

T.I, Waje, Ash Hamman na Kimani kuwasili leo Dar kwa ajili Tamasha la Serengeti Fiesta 2014

ti-press-2013-650c

Baada ya kuzunguka maelfu ya maili, tamasha la Serengeti Fiesta 2014 litafunga ziara yake katika viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam kesho kutwa jumamosi.

Rapa wa kimataifa toka Marekani T.I, pamoja na Waje toka Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na nyota mwingine wa muziki wa kizazi kipya toka nchini Kenya, Victoria Kimani wanatarajiwa kutua leo nchini kwa ajili kuburudisha katika tamasha la Serengeti Fiesta.

T.I toka Marekani, Waje wa Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na Victoria Kimani wa...

 

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA IRINGA GUMZO LA MWAKA

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Herry Samir 'Mr Blue' akitoa burudani kwa wakazi wa Iringa. Mashabiki wakiendelea kuimba pamoja na Mr Blue .…

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yahitimisha kampeni ya “Serengeti Masta” kwa kishindo jijini Dar

CAMPIX PRODUCTION

Mshiriki wa shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta kwa wilaya ya Temeke Emmanuel Nyaulingo (kulia) akipokea zawadi ya fulana kabla ya shindano hilo kuanza rasmi ambalo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar es salaam. (kushoto) ni balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Caroline Vincent na anayeshudia (katikati) ni mshereheshaji wa shindano hilo Richard Godwin. Kampeni hiyo inafikia tamati jijini Dar es salaam baada ya kumalizika mikoani pia...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA FIESTA 2014 LAWA GUMZO MKOANI TANGA

Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisa. Barnaba Boy…

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA FIESTA 2014 LAACHA GUMZO MKOANI MORO

Msanii wa Bongo Fleva, Linah Sanga akicheza na mmoja ya shabiki wake Ole Themba usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro. Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti…

 

10 years ago

Dewji Blog

Original Komedi waacha gumzo jijini Mwanza kwenye Tamasha la Tigo Welcome Pack

komedy

Wasanii wa kundi la Original Komedi wakitoa burudani kwenye tamasha la Tigo Welcome Pack lililofanyika uwanja wa ccm Kirumba Mwanza juzi, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo. orijino komedy Masanja2 Mpoki MwanaFA2 Mwana HipHop Hamisi Mwinyijuma maarufu MwanaFA akiwaburudisha mashabiki waliofurika kwenye tamasha la Tigo Welcome Pack lililofanyika uwanja wa ccm Kirumba Mwanza juzi, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma...

 

10 years ago

Mwananchi

Tamasha Serengeti sasa kuwa leo

Tamasha la Serengeti Fiesta, lililoahirishwa kutokana na ajali ya basi iliyoua zaidi ya watu 35 mkoani Mara,  linakafanyika leo kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA FIESTA 2014: DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND NA T.1 WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI

Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, usiku wa kuamkia leo lilifunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake ambapo burudani ya kufa mtu ilidondoshwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani