Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tido: Ni wakati wa matumaini mapya kwa Watanzania

“ Tutawapatia watanzania matangazo ya moja kwa moja ya uchaguzi, ambayo hawajawahi kuona katika historia ya nchi hii. Kuanzia uchaguzi  wa CCM  hadi kwenye Uchaguzi Mkuu.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kuingia kwa sekta ya afya katika BRN kunaleta matumaini mapya

Na Annastazia Rugaba, PDB habariMtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais, usimamizi wa utekelezaji wa miradi (PDB) Bwana Omari Issa, leo amekabidhi rasmi taarifa ya mkakati wa kuboresha sekta ya afya chini ya BRN kwa jumuia ya wahisani wa maendeleo. Makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi za PDB ambapo jumuiya ya wahisani ilipata fursa ya kusikiliza kwa kina namna BRN inavyofanya kazi ya kuleta matumaini mapya kwa watanzania kupitia sekta za kipaumbele. Sekta ya afya imekuwa ikijaribu kuboresha...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENI‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mwenge iliyopo mkoani Lindi wakifurahia baada ya kugawia pedi za kujikinga wanapokuwa kwenye hedhi .Mpango kwa kuwagawia wasichana pedi na kuwapatia elimu ya Afya na uzazi uko chini ya mradi wa Hakuna Wasichoweza unaoendeshwa na taasisi ya T-Marc na kudhaminiwa na USAID na Vodacom Foundation na unawalenga wanafunzi waliopo mashuleni na wasio mashuleni zoezi hili limeanza kufanyika katika mikoa ya Lindi na Mtwara.Wanafunzi wa shule ya msingi ya...

 

10 years ago

GPL

HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENI‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mwenge iliyopo mkoani Lindi  wakifurahia baada ya kugawia pedi za kujikinga wanapokuwa kwenye hedhi .Mpango kwa kuwagawia wasichana pedi na kuwapatia elimu ya Afya na uzazi uko chini ya mradi wa Hakuna Wasichoweza unaoendeshwa na taasisi ya T-Marc na kudhaminiwa na USAID na Vodacom Foundation na unawalenga wanafunzi waliopo mashuleni na wasio mashuleni zoezi hili limeanza kufanyika...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumaini ya medali Madola kwa Watanzania yazidi kupeperuka

Pigo kwa Tanzania! Ndivyo ilivyokuwa jana kwenye kambi ya wanamichezo wa Tanzania nchini Scotland baada ya mwanariadha mzoefu, Fabiano Joseph kushindwa kung’ara kwenye mbio za marathon za Michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

5 years ago

Michuzi

SASA NI WAKATI KUWAPA BURUDANI ZA KINYUMBANI ZAIDI WATAZAMAJI WETU-TIDO MHANDO

       Na.Khadija seif, Michuzi tv

  - Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.

KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
 Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.

"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...

 

11 years ago

GPL

IVO MAPUNDA: WATANZANIA NJOONI TUONYESHE MATUMAINI KWA TAIFA LETU

Kipa namba moja wa Simba SC, Ivo Mapunda awakaribisha Watanzania katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar kuonyesha matumaini yao kwa Tanzania.

 

9 years ago

Raia Mwema

Machemli aamsha matumaini mapya Ukerewe

ALIYEKUWA Mbunge wa Ukerewe kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Salvatory

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumaini mapya baada ya kupoteza Viungo

Ndani ya wiki chache Alex Lewis alitoka kuwa mmiliki wa mgahawa,na kuwa mgonjwa sana

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AMWAGA SERA YA MATUMAINI MAPYA SINGIDA

  Capt Mstaaf, John Chiligati aliyekuwa Mbuge wa Manyoni akipunga mikono baada ya kumpigia debe mgombea mpya ubunge wa jimbo hilo, Daniel Mtuka. Chege na Temba wakikamua.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani