Tido: Ni wakati wa matumaini mapya kwa Watanzania
“ Tutawapatia watanzania matangazo ya moja kwa moja ya uchaguzi, ambayo hawajawahi kuona katika historia ya nchi hii. Kuanzia uchaguzi wa CCM hadi kwenye Uchaguzi Mkuu.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HKD8wmqSXLI/VNPM8oyL7OI/AAAAAAAHCGg/TiQPoLAnf24/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Kuingia kwa sekta ya afya katika BRN kunaleta matumaini mapya
Na Annastazia Rugaba, PDB habariMtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais, usimamizi wa utekelezaji wa miradi (PDB) Bwana Omari Issa, leo amekabidhi rasmi taarifa ya mkakati wa kuboresha sekta ya afya chini ya BRN kwa jumuia ya wahisani wa maendeleo. Makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi za PDB ambapo jumuiya ya wahisani ilipata fursa ya kusikiliza kwa kina namna BRN inavyofanya kazi ya kuleta matumaini mapya kwa watanzania kupitia sekta za kipaumbele. Sekta ya afya imekuwa ikijaribu kuboresha...
10 years ago
Vijimambo19 Feb
HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENIâ€
![](http://api.ning.com/files/Xl7BOeGlGv*0H2eBOTOfQUF39gWoYuDoV2rXjwM4MOqSK87iXeKjGa0ZF2*BuRh7cpoL1jjeixf9bTZG1MCcBejXH1xjeoeh/pictureno10.jpg)
![](http://api.ning.com/files/Xl7BOeGlGv*VCd6ErvCy98njWKdI2Q1YTmEUGBLwOqhvpmdDXEM-yMpkzZJtRS6-zhWkGRWFUNmiYS9Xd-L9*XejunUj8zgY/pictureno1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv*0H2eBOTOfQUF39gWoYuDoV2rXjwM4MOqSK87iXeKjGa0ZF2*BuRh7cpoL1jjeixf9bTZG1MCcBejXH1xjeoeh/pictureno10.jpg)
HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENI
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mwenge iliyopo mkoani Lindi wakifurahia baada ya kugawia pedi za kujikinga wanapokuwa kwenye hedhi .Mpango kwa kuwagawia wasichana pedi na kuwapatia elimu ya Afya na uzazi uko chini ya mradi wa Hakuna Wasichoweza unaoendeshwa na taasisi ya T-Marc na kudhaminiwa na USAID na Vodacom Foundation na unawalenga wanafunzi waliopo mashuleni na wasio mashuleni zoezi hili limeanza kufanyika...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Matumaini ya medali Madola kwa Watanzania yazidi kupeperuka
Pigo kwa Tanzania! Ndivyo ilivyokuwa jana kwenye kambi ya wanamichezo wa Tanzania nchini Scotland baada ya mwanariadha mzoefu, Fabiano Joseph kushindwa kung’ara kwenye mbio za marathon za Michezo ya Jumuiya ya Madola.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AFie06AUli0/XvNAmIL-BeI/AAAAAAALvPs/cVXuCyZESEAfTCtCmRn-PUsPiUmSl9r6wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.34.50%2BPM.jpeg)
SASA NI WAKATI KUWAPA BURUDANI ZA KINYUMBANI ZAIDI WATAZAMAJI WETU-TIDO MHANDO
Na.Khadija seif, Michuzi tv
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...
11 years ago
GPL23 Jul
IVO MAPUNDA: WATANZANIA NJOONI TUONYESHE MATUMAINI KWA TAIFA LETU
Kipa namba moja wa Simba SC, Ivo Mapunda awakaribisha Watanzania katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar kuonyesha matumaini yao kwa Tanzania.
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Machemli aamsha matumaini mapya Ukerewe
ALIYEKUWA Mbunge wa Ukerewe kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Salvatory
Mwandishi Wetu
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Matumaini mapya baada ya kupoteza Viungo
Ndani ya wiki chache Alex Lewis alitoka kuwa mmiliki wa mgahawa,na kuwa mgonjwa sana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Capt-mstaaf-John-Chiligati-aliyekuwa-Mbuge-wa-manyoni-akipunga-mikono-baada-ya-kumpigia-debe-mgombea-mpya-wa-eneo-hilo-Daniel-Mtuka-katikati-ni-mg.jpg)
MAGUFULI AMWAGA SERA YA MATUMAINI MAPYA SINGIDA
Capt Mstaaf, John Chiligati aliyekuwa Mbuge wa Manyoni akipunga mikono baada ya kumpigia debe mgombea mpya ubunge wa jimbo hilo, Daniel Mtuka. Chege na Temba wakikamua.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania