Tigo adopts ‘Live It, Love It’ as new brand identity
Tigo announced its new brand identity yesterday as Tanzania’s fastest growing it seeks to cope with changing customer aspirations.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kauli mbiu yake ya ‘Live It, Love It’ kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua chapa mpya LIVE IT, LOVE IT kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja...
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
The Johannesburg Stock Exchange (JSE) Transfroms its Brand Identity
Today the Johannesburg Stock Exchange (JSE) (http://www.jse.co.za) revealed its new brand which demonstrates the bourse’s identity as a modern African marketplace that connects investors to growth opportunities globally.
The Johannesburg Stock Exchange (JSE) Transfroms its Brand Identity.
The JSE’s logo and colour palette moves to a bold black, white and green combination while the typography takes on a clean, digital feel.
The revitalised brand follows on from an extensive brand audit...
9 years ago
Bongo518 Dec
It’s All Love: Ivan ahudhuria White Party ya ex wake Zari, Diamond aikacha (Picha)
![12353812_1151509724878786_161931566_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12353812_1151509724878786_161931566_n-300x194.jpg)
Wana watoto watatu pamoja na wana biashara kibao za pamoja, hivyo ni ngumu kwa Zari na mume wake wake wa zamani, Ivan kupotezeana licha ya kila mmoja kuchukua njia yake kimahusiano.
Ivan na jamaa zake wa Rich Gang wakila bata kwenye Zari All White Party
Ndio maana Ivan na mpambe wake King Lawrenc walisafiri kutoka SA na kwenda kumuunga mkono Zari ambaye Alhamis hii aliandaa party yake ya kila mwaka ya mavazi meupe tu kwenye kiota cha Guvnor kilichopo Kampala Uganda.
Ivan alionekana...
9 years ago
TheCitizen02 Dec
WINNING LEADERSHIP : No, it’s not your title at all; It’s all about you
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
10 years ago
TheCitizen17 Jan
ONE MAN'S VIEW: We love spinning out lies; women love to swallow them
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Brand Africa to Announce the Africa’s Top 100 Most Admired and Most Valuable Brands at the 4th Annual Brand Africa 100
-The scope and sample countries have been vastly expanded from a base of 8 countries in the past years to 22 countries covering every leading African economy
Brand Africa (www.brandafrica.org) is to release its highly anticipated 4th Brand Africa 100: Africa’s Best Brands rankings of the Top 100 Most Admired and Most Valuable brands in Africa at a Gala event at Sandton Convention Center on 22 October 2015.
The rankings, first launched in 2011 at the second Brand Africa FORUM, have been...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...