Tigo spends Sh560m on promotion
Tigo Tanzania has spent Sh560 million on a its promotion aimed at expanding its customer base.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...
10 years ago
On Biometric Voter Registration Kits23 Sep
Govt spends 290bn/
IPPmedia
IPPmedia
National Electoral Commission chairman Judge (rtd) Damian Lubuva (R) has a word with UNDP's Resident Representative to Tanzania, Phillippe Poinsot, in Dar es Salaam yesterday. Despite protests by opposition parties over the use of Biometric Voter ...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.
Tigo Tanzania leo imekuwa...
10 years ago
On New Lab Projects26 Mar
Tanzania: Mwanza Spends 1.2bn/
AllAfrica.com
Dodoma — MWANZA City Council has so far spent 1.2bn/- on the construction of 13 secondary school laboratories, while 68 are in the final stages of completion. This was said in the National Assembly on Wednesday by the Deputy Minister in the Prime ...
11 years ago
Daily News19 Feb
Coast spends billions on roads
Daily News
COAST Region spent a total of 8.7bn/- in road maintenance and in repairing bridges during the fiscal year 2012/2013, the Regional Tanroads Manager, Tumaini Sarakikya, has said. Mr Sarakikya said here recently while presenting a report to regional leaders ...
9 years ago
TheCitizen18 Dec
Ex-Miss TZ spends Sh65m on dorm
10 years ago
TheCitizen08 Oct
MP Mdee spends night in prison
9 years ago
TheCitizen06 Oct
Saccos spends Sh50m on crop storage