Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


'Tofauti za dini zinatumika vibaya'

VIONGOZI wa dini za Kiislamu na Kikristo nchini wamesema tofauti za dini zao zimekuwa zikitumika vibaya kwa maslahi binafsi ikiwemo kisiasa na hivyo kusababisha migogoro. Wamesema licha ya kutumika kisiasa, pia tofauti hizo zinatumiwa vibaya kwenye uchumi, jamii na hata miongoni mwa watu binafsi jambo linaloleta migogoro kwenye jamii na kusababisha vifo, majeraha na uharibifu wa mali. Walitoa tamko hilo jana jijini Dar es Salaam wakati wa kufunga mkutano wao wa siku nne wa amani.

habarileo

Read more


Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani